nkanziga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 700
- 1,116
Speaking of Kimbinyiko hata yy VIP zake Zipo DAR DOM ambazo ni DQC series mbili na DCWWe Jamaa ni kabishi sana,umesoma Bango la hiyo shabiby?
Kwa taarifa Yako Sasa Shabiby atakuwa anatoa gari mbili kwenda Mbeya na kurudi Dom saa 12 na Saa 1 zote VIP.
Pili anaanza route ya Mbeya-Dar VIP Class kama kawaida.
Shabiby ni VIP Class Toka kitambo sana Kwa route ya Mbeya,yeye na Kimbinyiko.
Kwa Mbeya hizo DQG na DQH 57 seater buses zina U-VIP gani.
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app


