Kahama VS Njombe/Mafinga

Tukifika huku Kwa Mexico hakuna Kanda itakaribia kwetu japo wao mexico Wana bahati ya kuwa jirani na Soko kubwa la Marekani.

 
Acha wivu Bwashee ,Mwanza mshapigwa kamba 😁😁.

Nani apeleke gari yake ya maana ikachakae huko Kwa washamba Mwanza? πŸƒπŸƒ
Mtanzania mwenye akili timamu kutoka mikoa isiyo ya kanda ya ziwa wala kusini akipewa nafasi ya kwenda kuishi Mwanza au Mbeya unadhani atachagua wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…