Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Usimfananishe mwekezaji na vitu vya ajabu ajabu ,hiyo bus unaweza Kuta ni ya Masasi ,

Mbeya hakuna Mabasi yaliyochoka
20230402_090026.jpg
20230402_090423.jpg
20230402_090252.jpg
20230328_202410.jpg
20230328_204945.jpg
 
Mwanza na Kansa hizo na umaskini na mabanda ya nguruwe unaishi huko?

Hapo sijataja njaa 😁😁
Kumbe bado haujabadilika una akili zilezile. Uzi uanzishe mwenyewe bado unajichagulia na side ya kutetea kwa miaka yote hii.

Pumbavu ndio maana nyinyi WEUSI na WAFUPI sana vipipa nyie na nyumba zenu za matofali ya kuchoma
 
Kumbe bado haujabadilika una akili zilezile. Uzi uanzishe mwenyewe bado unajichagulia na side ya kutetea kwa miaka yote hii.

Pumbavu ndio maana nyinyi WEUSI na WAFUPI sana vipipa nyie na nyumba zenu za matofali ya kuchoma
Mapovu ya nini bwashee,sio mimi nimekusababishia uwe na Kansa ya ubongo na mtindio wake 😁😁

Mwanza imejaa maskini,mabanda ya nguruwe,njaa na horrible life usije kuthubutu kujilinganisha na Mbeya.
JamiiForums-154316549.jpg
 
Hiyo ni Kiboko ya Bukoba,gulio la Kahama likashindane na Tabora hakuna Mji wa kulinganisha huku kwetu.
Mpumbavu kweli wewe, hiyo Tabora tu hakuna mji wa kusini unayoizidi kiuchumi, kiuzuri, na hata kwa mambo ya kiswahili.

Kuna wilaya ya Tabora inaitwa Nzega hii kwa maendeleo yake huwezi kuilinganisha hata na mkoa wa Songwe.

Kuna Igunga hii hata sitii neno wewe kipipa
 
Mpumbavu kweli wewe, hiyo Tabora tu hakuna mji wa kusini unayoizidi kiuchumi, kiuzuri, na hata kwa mambo ya kiswahili.

Kuna wilaya ya Tabora inaitwa Nzega hii kwa maendeleo yake huwezi kuilinganisha hata na mkoa wa Songwe.

Kuna Igunga hii hata sitii neno wewe kipipa
🤣🤣🤣🤣 Hii takataka hapa unaweza linganisha na wapi huku kwetu? Walau Bukoba ndio inajitahidi kidogo
 
Huna picha nyingine tuone mbona unahangaika na hizi tu?

Kwa uzuri Mwanza is far.
Kiuchumi Mwanza is far.

Kitu pekee Mwanza inazidiwa na Mbeya napo ni kwa tabu sana ni Mvua za hovyo hovyo.

Embu tujikite kwenye mada yako hiyo Mbeya linganisha na Dodoma ambako kote kuna maghorofa ya kuhesabika.

Kuna group flani la wahehe wanajinasibu kuwa Iringa ni pazuri kuliko Mbeya japo ni padogo na wanatumia sana picha za mshindo na wilolesi na wala vifutu wa mbeya weusiii hawafurukuti
 
Huna picha nyingine tuone mbona unahangaika na hizi tu?

Kwa uzuri Mwanza is far.
Kiuchumi Mwanza is far.

Kitu pekee Mwanza inazidiwa na Mbeya napo ni kwa tabu sana ni Mvua za hovyo hovyo.

Embu tujikite kwenye mada yako hiyo Mbeya linganisha na Dodoma ambako kote kuna maghorofa ya kuhesabika.

Kuna group flani la wahehe wanajinasibu kuwa Iringa ni pazuri kuliko Mbeya japo ni padogo na wanatumia sana picha za mshindo na wilolesi na wala vifutu wa mbeya weusiii hawafurukuti
Acha porojo wewe kama huna bando usifungue video..

Sweet Mbeya City
 
Tabora unapajua?
Yani wewe huko kusini kwenu hakuna mahali sijapita sio tu nayajua maisha ya watu wa kusini na jinsi walivyo ila nayaelewa hadi mazingira yao.
Kanda ya Ziwa sijafika Bukoba na Musoma tuu na Kwa picha mnazoleta humu siwezi potezea nauli kwenda Vijijini kwenu huko hata mapato hamna.
 
Back
Top Bottom