Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Wivu 🤪😝🤪😜 hiyo ni sehemu ndogo sana ya Jiji la Mbeya..
Hii mbeya iliyojengwa kwa tofali za kuchoma?
Yani nyumba za mbeya mjini 80% ni tofali za kuchoma na maghorofa ni machache sanaaa na excuse yenu eti ardhi sio rafiki.

Mwanza hakuna nyumba ya tofali za kuchoma unajua tafsiri ya hii kitu?
Mwanza kuna ghorofa nyingi, Mwanza kuna barabara kali kila kona hadi milimani, Mwanza kuna terminals mbili za abiria wa ma bus za kisasa hakuna mahali Tanzania kuna stand mbili za ma bus ya upcountry zaidi ya Mwanza.

Mwanza kuna masoko ya kisasa, Mwanza kuna hela, Mwanza kuna idadi kubwa ya magari, Mwanza kuna hotel nyingi na zenye hadhi kuliko mikoa yote ya kusini combined
 
Wivu hiyo ni sehemu ndogo sana ya Jiji la Mbeya..

Majiji yanapaswa kuwa hv
JamiiForums-1159811569_1.jpg
IMG-20230221-WA0001.jpg
 
Hii mbeya iliyojengwa kwa tofali za kuchoma?
Yani nyumba za mbeya mjini 80% ni tofali za kuchoma na maghorofa ni machache sanaaa na excuse yenu eti ardhi sio rafiki.

Mwanza hakuna nyumba ya tofali za kuchoma unajua tafsiri ya hii kitu?
Mwanza kuna ghorofa nyingi, Mwanza kuna barabara kali kila kona hadi milimani, Mwanza kuna terminals mbili za abiria wa ma bus za kisasa hakuna mahali Tanzania kuna stand mbili za ma bus ya upcountry zaidi ya Mwanza.

Mwanza kuna masoko ya kisasa, Mwanza kuna hela, Mwanza kuna idadi kubwa ya magari, Mwanza kuna hotel nyingi na zenye hadhi kuliko mikoa yote ya kusini combined
Una maneno mengi ya kujifariji Hadi huruma 😁😁

Leo nakutandika na video za Mbeya Hadi ujiharishie 🤣🤣

 
Hii mbeya iliyojengwa kwa tofali za kuchoma?
Yani nyumba za mbeya mjini 80% ni tofali za kuchoma na maghorofa ni machache sanaaa na excuse yenu eti ardhi sio rafiki.

Mwanza hakuna nyumba ya tofali za kuchoma unajua tafsiri ya hii kitu?
Mwanza kuna ghorofa nyingi, Mwanza kuna barabara kali kila kona hadi milimani, Mwanza kuna terminals mbili za abiria wa ma bus za kisasa hakuna mahali Tanzania kuna stand mbili za ma bus ya upcountry zaidi ya Mwanza.

Mwanza kuna masoko ya kisasa, Mwanza kuna hela, Mwanza kuna idadi kubwa ya magari, Mwanza kuna hotel nyingi na zenye hadhi kuliko mikoa yote ya kusini combined
Hii ni kirumba mwaloni lakin ni Zaid ya mbeya
Screenshot_20230404-125807~2.jpg
 
Back
Top Bottom