Tatizo moja la mji wa Bukoba limeanza kufanyiwa kazi...ujenzi wa stendi umeanza upya baada ya kukwama za zaidi 15years...bado soko sasa...sijui mtaisema Bukoba kwa lipi sasa
Nimependa kutumia mkandarasi wa hapo hapo Bukoba...
Mkuu, sasa hivi Manispaa ya Bukoba imeongezewa eneo Kata za Maruku, Kanyangereko, Katoma, Karabagaine na eneo dogo la Kemondo zimerudi ndani ya Manispaa na siyo tena Halmashauri ya Bukoba Vijijini.
Kwa ukubwa huu wa eneo la mraba kuna kitu kikubwa kinakuja.