hii inchi iko hivi wala msipate taabu angalia ramani yake vizuri yaani kadiri unavyotoka kaskazini kuja kusini mikoa na wilaya ndivyo zinazidiana kwa ubora nikimaanisha maendeleo na kielimu hivyo huwezi linganisha kahama na njombe
Haka kanyumba ndio kanajengwa huko mbeya, na unakuja mbio mbio kupost, hakika mbeya ni kijiji cha wakulima, kuwa na aibu bro kuna vitu vya kuleta sio huu ujinga.