Kahama VS Njombe/Mafinga

Mafisi wa Lake zone mna jipya gani nyie? 😁😁😁😁

 
Karibuni kwenye mada.

Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga.

Je, ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwenzie in terms of maendeleo na ukuaji?
hii inchi iko hivi wala msipate taabu angalia ramani yake vizuri yaani kadiri unavyotoka kaskazini kuja kusini mikoa na wilaya ndivyo zinazidiana kwa ubora nikimaanisha maendeleo na kielimu hivyo huwezi linganisha kahama na njombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…