ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,218
- 85,094
- Thread starter
- #14,781
Hutokuja kuwa na akili eti Kanda ya Magharibi 😁😁😁😁Endelea kuipaisha kanda ya magharibi, wakati kwenu mmekalia ndumba na kusubiri uponyaji wa wachungaji uchwara.
Nakupa shuke inaonekana ulipata zero maarifa ya jamii na Geography..
Kanda ya Magharibi Ina Mikoa ya Tabora,Katavi na Kigoma.
Nyanda za Juu Kusini Ina Mikoa ya Rukwa,Songwe,Njombe,Ruvuma na Iringa,soon Mkoa wa Kilombero/Mahenge utaingia.
..
