Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Sio tuu viwanda unaijua kampuni ya Asas wewe?
Naomba tuseme ukweli...hiv unaweza linganisha kiwanda cha kagera sugar na hivyo viwanda vya pipi na maziwa

Kagera sugar inazalisha 35% ya sukari yote nchini...wasitishe uzalishaji uone kama mtaishi hapa nchini....
 
Hebu tufanye hiv....kagera sugar isitishe uzalishaji wa sukari kwa mwezi tu uone kama hawataandamana sukari haipo


Hao watu nimeachana nao...hiv unaweza linganisha kiwanda cha sukari na cha pipi?

Ukiangalia haya masuala kiundani Bukoba iko mbali sana tu...
Hizo pipi ata nyumbani huwa tunatengeneza
 
Sasa hvyo viwanda vinauza maji bukoba tu ndo ufanananisha na kiwanda cha dabaga au ivory au chai bora vinavyouza bidhaa nchi nzima duh kwel wew huna akili yani hayo maji hata dar haypo alaf unasema unakiwanda jambo la aibu kuleta viwanda uchwara mbele ya manufacturing Industries vya iringa kwenye viwanda hapo umepotea nyumbu tz hii kila kiwanda kinatafuta soko dar kweny watu weng kisipotoboa soko la dar basi hicho hakitajuliakana sasa nenda supermarket yoyote kaangalie kama hmn bidhaa za ivory dabaga naw chai bora alaf angalia hvyo vijiuchafu vyenu kama vipo pale mliman cty,nyumbu hamjawah kuwa na akili timamu yan unaleta viwanda vinavyojulikna kijijini kwenu huko cc tunaleta kiwanda kinajulikana tz nzima na nje ya nchi kimaa wewe kesho usilete viwanda vyenu vya kuchungiA ng'ombe
Naomba utaje hizo manafacturing industry za iringa manufacturing ya kutengeneza pipi

Narudia kagera sugar tu wasitishe uzalishaji wa sukari mwezi tu uone kama hamuandamani kama wakenya


Hiz chini ni moja ya brands toka Bukoba....
images.jpg
images%20(1).jpg
images%20(2).jpg
images%20(4).jpg
images%20(6).jpg
images%20(7).jpg
images%20(8).jpg
 
Kuna ndezi mmja alisema eti Kigoma ndio Kuna Lake Tanganyika pekee 😂😂😂.

Kasanga Port in Rukwa is second in terms of volumes and rwvunues after Kigoma.

 
Lakini hazipo nyanda za juu kusini😝😝😝, kila siku unaipost sumbawanga ambayo haipo hupo mashamban kwenu.
😁😁👇🤣🤣🤣😝😝😝😭😭😭🏃🏃🏃🏃 Rukwa ipo Kanda gani bwashee?
 
Back
Top Bottom