KONK MASTER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,225
- 511
Ikoje hebu sema maendeleo Haina BUKOBA?na unataka yawepoLete picha tuc
Kama bandali ingekuwa na impact basi bukoba isingekuwa vile hvyp vyote vipo ila bukoba bdo ipo chini kimaendeleo
Ikoje hebu sema maendeleo Haina BUKOBA?na unataka yawepoLete picha tuc
Kama bandali ingekuwa na impact basi bukoba isingekuwa vile hvyp vyote vipo ila bukoba bdo ipo chini kimaendeleo
Je hyo stand inalingana na ya mbeya tope? Au umekunywa faru johnYanalala stend ipi ile yenye matope mvua ikinyesha
Palipo na idadi ya watu wengi na maendeleo pia usishikwe na wazungu utaamuka kumekucha ebu nitajia nchi Ina watu wachache sana na Iko mbele maendeleo afrika au dunianiiBukoba bdo sanaaaa yan kanda ya ziwa kuna miji miwil tu mwanza na shinyanga huko kwingne ni nyumbu tu zimejaa mnazaliana kama mnaenda kuliwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa hiyo bandari haina impact? Kwa nini nisikuite mpumbavu....Lete picha tuc
Kama bandali ingekuwa na impact basi bukoba isingekuwa vile hvyp vyote vipo ila bukoba bdo ipo chini kimaendeleo
Watu wa kusini mmejengewa stendi basi ndo mnaona maendeleoooYanalala stend ipi ile yenye matope mvua ikinyesha
Kwa hivyo viwanda ndo unalinganisha na kagera sugar.....Asas,chai bora, Ivory hvyo vitatu vinakutosha
Yani wew ndo zwazwa aliekwambia wing wa watu ni maendeleo nani yan ukiitwa nyumbu unakuwa nyumbu kwel nenda kaangalie population ya italy imepitwa na Tanzania ila Maendeleo huwez kufananisha kamwe usiishi kwa kukalili kuwa na watu sio maendeleo bali maendeleo yatakuwepo kama hao watu wanajituma sio nyie kanda ya ziwa.mmejazana nyumbu washamba kibao hmn akili hata moja nyie ndo mnaleta njaa mpo weng kama nyumbu kwel🤣🤣🤣🤣🤣🤣siku nyngne usiongee upuuzi wako mbele za watuPalipo na idadi ya watu wengi na maendeleo pia usishikwe na wazungu utaamuka kumekucha ebu nitajia nchi Ina watu wachache sana na Iko mbele maendeleo afrika au dunianii
Mm nakupa fact cheki china,check Nigeria,cheki south afrika nk
Na kiwanda cha chai bora ndo kiwanda bora cha chai Tanzania kama ulikuwa hujui na Asas ndo kampuni bora la mwaka 2023 kama ulikuwa hujui nyumbu wewKwa hivyo viwanda ndo unalinganisha na kagera sugar.....
Hivi unajua kagera sugar ipo top five ya viwanda vikubwa vya sukari Africa Mashariki nzima....
Ok...Bukoba kuna kiwanda cha Yetu chai....kuna viwanda vya maziwa kama kahama fresh kilichopo kwenye ranchi kubwa ya kitengule...
Bukoba kuna viwanda vya chaki kama Victoria chalks
Kuna viwanda vya juice kama Mali Juice..hiv unajua bukoba wanalima nanasi...
Kuna viwanda vya maji kibao kama Asilia, Bunena water, Tanica water, kabaga water, Zahra water nk...
Ok njoo na kingine kuhusu Iringa.....
Sasa hvyo viwanda vinauza maji bukoba tu ndo ufanananisha na kiwanda cha dabaga au ivory au chai bora vinavyouza bidhaa nchi nzima duh kwel wew huna akili yani hayo maji hata dar haypo alaf unasema unakiwanda jambo la aibu kuleta viwanda uchwara mbele ya manufacturing Industries vya iringa kwenye viwanda hapo umepotea nyumbu tz hii kila kiwanda kinatafuta soko dar kweny watu weng kisipotoboa soko la dar basi hicho hakitajuliakana sasa nenda supermarket yoyote kaangalie kama hmn bidhaa za ivory dabaga naw chai bora alaf angalia hvyo vijiuchafu vyenu kama vipo pale mliman cty,🤣🤣nyumbu hamjawah kuwa na akili timamu yan unaleta viwanda vinavyojulikna kijijini kwenu huko cc tunaleta kiwanda kinajulikana tz nzima na nje ya nchi kimaa wewe kesho usilete viwanda vyenu vya kuchungiA ng'ombeKwa hivyo viwanda ndo unalinganisha na kagera sugar.....
Hivi unajua kagera sugar ipo top five ya viwanda vikubwa vya sukari Africa Mashariki nzima....
Ok...Bukoba kuna kiwanda cha Yetu chai....kuna viwanda vya maziwa kama kahama fresh kilichopo kwenye ranchi kubwa ya kitengule...
Bukoba kuna viwanda vya chaki kama Victoria chalks
Kuna viwanda vya juice kama Mali Juice..hiv unajua bukoba wanalima nanasi...
Kuna viwanda vya maji kibao kama Asilia, Bunena water, Tanica water, kabaga water, Zahra water nk...
Ok njoo na kingine kuhusu Iringa.....
Ewe ni bwabwa Sasa hapo nchi gan Ina watu wachache au hujui analysisiYani wew ndo zwazwa aliekwambia wing wa watu ni maendeleo nani yan ukiitwa nyumbu unakuwa nyumbu kwel nenda kaangalie population ya italy imepitwa na Tanzania ila Maendeleo huwez kufananisha kamwe usiishi kwa kukalili kuwa na watu sio maendeleo bali maendeleo yatakuwepo kama hao watu wanajituma sio nyie kanda ya ziwa.mmejazana nyumbu washamba kibao hmn akili hata moja nyie ndo mnaleta njaa mpo weng kama nyumbu kwel🤣🤣🤣🤣🤣🤣siku nyngne usiongee upuuzi wako mbele za watu
Ngoja nikutoe ujinga na ushamba,Yani wew ndo zwazwa aliekwambia wing wa watu ni maendeleo nani yan ukiitwa nyumbu unakuwa nyumbu kwel nenda kaangalie population ya italy imepitwa na Tanzania ila Maendeleo huwez kufananisha kamwe usiishi kwa kukalili kuwa na watu sio maendeleo bali maendeleo yatakuwepo kama hao watu wanajituma sio nyie kanda ya ziwa.mmejazana nyumbu washamba kibao hmn akili hata moja nyie ndo mnaleta njaa mpo weng kama nyumbu kwel🤣🤣🤣🤣🤣🤣siku nyngne usiongee upuuzi wako mbele za watu
Huo ubora kwanini haujawatoa kwenye udumavu na lishe duni pamoja na unyafuzi.Na kiwanda cha chai bora ndo kiwanda bora cha chai Tanzania kama ulikuwa hujui na Asas ndo kampuni bora la mwaka 2023 kama ulikuwa hujui nyumbu wew
Linashindwa hata kujiuliza huko kwao yamerundikana ila yananuka umaskini Kila pandeYani wew ndo zwazwa aliekwambia wing wa watu ni maendeleo nani yan ukiitwa nyumbu unakuwa nyumbu kwel nenda kaangalie population ya italy imepitwa na Tanzania ila Maendeleo huwez kufananisha kamwe usiishi kwa kukalili kuwa na watu sio maendeleo bali maendeleo yatakuwepo kama hao watu wanajituma sio nyie kanda ya ziwa.mmejazana nyumbu washamba kibao hmn akili hata moja nyie ndo mnaleta njaa mpo weng kama nyumbu kwel🤣🤣🤣🤣🤣🤣siku nyngne usiongee upuuzi wako mbele za watu
Tuna Kila aina ya Maendelea,mbona husemi hospital? Kagera hakuna hospital ya Mkoa 🤣🤣Watu wa kusini mmejengewa stendi basi ndo mnaona maendeleooo
Nenda miji ya kenya haina hizo stendi ambazo mmekopa na mnashindwa kurudisha mikopo
Stendi ya Igumbilo iko empty sijui nani aliwashauri wahamishie stendi pale....kule samora na uhindini kuna baadhi ya nyumba zimechoka sijui ni magofu....
Bado nawaza Iringa inaizidi nini Bukoba.......
Hiv iringa kuna recreation parks kweli pale...maana mnafikiri miji ni kuwa na stendi tu...hata korogwe na nanyumbu kuna stendi
Maneno mengi naona unatambia kakiwanda cha chai na pipi, hata mimi naweza kuwa na kiwanda cha pipi alafu hata mama yng anaweza kutengeneza majani ya chai, leta vitu vya kueleweka, Bukoba sio size yenu nyinyi walugalu.Sasa hvyo viwanda vinauza maji bukoba tu ndo ufanananisha na kiwanda cha dabaga au ivory au chai bora vinavyouza bidhaa nchi nzima duh kwel wew huna akili yani hayo maji hata dar haypo alaf unasema unakiwanda jambo la aibu kuleta viwanda uchwara mbele ya manufacturing Industries vya iringa kwenye viwanda hapo umepotea nyumbu tz hii kila kiwanda kinatafuta soko dar kweny watu weng kisipotoboa soko la dar basi hicho hakitajuliakana sasa nenda supermarket yoyote kaangalie kama hmn bidhaa za ivory dabaga naw chai bora alaf angalia hvyo vijiuchafu vyenu kama vipo pale mliman cty,🤣🤣nyumbu hamjawah kuwa na akili timamu yan unaleta viwanda vinavyojulikna kijijini kwenu huko cc tunaleta kiwanda kinajulikana tz nzima na nje ya nchi kimaa wewe kesho usilete viwanda vyenu vya kuchungiA ng'ombe
Sio tuu viwanda unaijua kampuni ya Asas wewe?Kwa hivyo viwanda ndo unalinganisha na kagera sugar.....
Hivi unajua kagera sugar ipo top five ya viwanda vikubwa vya sukari Africa Mashariki nzima....
Ok...Bukoba kuna kiwanda cha Yetu chai....kuna viwanda vya maziwa kama kahama fresh kilichopo kwenye ranchi kubwa ya kitengule...
Bukoba kuna viwanda vya chaki kama Victoria chalks
Kuna viwanda vya juice kama Mali Juice..hiv unajua bukoba wanalima nanasi...
Kuna viwanda vya maji kibao kama Asilia, Bunena water, Tanica water, kabaga water, Zahra water nk...
Ok njoo na kingine kuhusu Iringa.....
Mbeya kuwa na Wilaya 2 Zenye Halmashauri 3, mbalizi ndani
Mbeya kuwa na Wilaya 2 Zenye Halmashauri 3, mbalizi ndani