Kahama VS Njombe/Mafinga

Bukoba bdo sanaaaa yan kanda ya ziwa kuna miji miwil tu mwanza na shinyanga huko kwingne ni nyumbu tu zimejaa mnazaliana kama mnaenda kuliwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Palipo na idadi ya watu wengi na maendeleo pia usishikwe na wazungu utaamuka kumekucha ebu nitajia nchi Ina watu wachache sana na Iko mbele maendeleo afrika au dunianii

Mm nakupa fact cheki china,check Nigeria,cheki south afrika nk
 
Lete picha tuc

Kama bandali ingekuwa na impact basi bukoba isingekuwa vile hvyp vyote vipo ila bukoba bdo ipo chini kimaendeleo
Kwa hiyo bandari haina impact? Kwa nini nisikuite mpumbavu....
Waulize serikali kwa nini wametumia karibu bilion 90 kukarabati mv Victoria, na kutumia zaidi ya billion 109 kujenga meli mpya ya mv mwanza itakayounganisha Bukoba na Mwanza...waulize kwa nini sasa bandari ya bukoba imeongezewa gati mpya tatu na kuongezewa kina...watu wa kusini bwana eti bandari haina impact....ungejua bandati moja ya kemondo ina impact kubwa kwa maisha ya wananchi kuliko kuwa na vyuo vikuu vitatu...

Hiv kweli na akili zako timamu unaweza linganisha kiwanda kikubwa cha kagera sugar na viwanda vya pipi na asas...


Hivyo viwanda vyote vilivyopo iringa ukiviunganisha bado havifikii kiwanda cha kagera sugar...moja ya viwanda vyenye scheme bora za kisasa za umwagiliaji....kiwanda kinazalisha hadi tani laki tano kwa mwaka ya kulisha robo ya nchi...

Wacha kisitishe uzalishaji uone nchi hii itakavyokosa sukari....refer wakati wa vita vya kagera....


Tuje kwenye viwanda vya kahawa....Bukoba kuna Tanica, Bukop, Amir amza na vile vya karagwe....
Na mind you 60% ya kahawa yote nchi inatoka mkoa huu wa kagera......

Bado kwenye Ranchi...kuna Ranchi kubwa sana ya kitengule....hii ndo hadi wanasiasa wamejimilikisha sehemu ya hii Ranchi akiwemo Magufuli....

Kuna viwanda vya kusindika maziwa vya Kule kyaka....


Bado kuna viwanda vya samaki, viwanda vya kutengeneza chaki na viwanda vya kutengeneza viungo....




NB...Nenda Bukoba vijijini utazame hizo nyumba zilizojengwa...watu wanatoa wap hizo pesa...
View attachment 2568075View attachment 2568076View attachment 2568077
 
Yanalala stend ipi ile yenye matope mvua ikinyesha
Watu wa kusini mmejengewa stendi basi ndo mnaona maendeleooo

Nenda miji ya kenya haina hizo stendi ambazo mmekopa na mnashindwa kurudisha mikopo
Stendi ya Igumbilo iko empty sijui nani aliwashauri wahamishie stendi pale....kule samora na uhindini kuna baadhi ya nyumba zimechoka sijui ni magofu....



Bado nawaza Iringa inaizidi nini Bukoba.......
Hiv iringa kuna recreation parks kweli pale...maana mnafikiri miji ni kuwa na stendi tu...hata korogwe na nanyumbu kuna stendi
 
Asas,chai bora, Ivory hvyo vitatu vinakutosha
Kwa hivyo viwanda ndo unalinganisha na kagera sugar.....
Hivi unajua kagera sugar ipo top five ya viwanda vikubwa vya sukari Africa Mashariki nzima....

Ok...Bukoba kuna kiwanda cha Yetu chai....kuna viwanda vya maziwa kama kahama fresh kilichopo kwenye ranchi kubwa ya kitengule...
Bukoba kuna viwanda vya chaki kama Victoria chalks
Kuna viwanda vya juice kama Mali Juice..hiv unajua bukoba wanalima nanasi...

Kuna viwanda vya maji kibao kama Asilia, Bunena water, Tanica water, kabaga water, Zahra water nk...


Ok njoo na kingine kuhusu Iringa.....
 
Nyinyi nyumbu mnaozaliana kama mnaenda kuliwa msifananishe hicho kijiji chenu chenye bandali isyotumika yani mtu asiend bandali ya mwanza aende kwenye uchafu ule🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sasa hicho kiwanda cha sukari kimoja tu iringa ni Industry base utafananishaje hiyo ni mbingu na ardhi kama haviwez kufanana bukoba manispaa kongwe ila huwez kuishindanisha na sumbawanga,songea,Moshi,Moro,iringa, kahama tabora na shinyanga singida hiyo level yake ni kigoma maana zmefanana kila kitu na mtwAra na Lindi huko kwngne tutabishana siku ziende ila kamwe haiwez Kuzifkia kwa maendeleo
 
Palipo na idadi ya watu wengi na maendeleo pia usishikwe na wazungu utaamuka kumekucha ebu nitajia nchi Ina watu wachache sana na Iko mbele maendeleo afrika au dunianii

Mm nakupa fact cheki china,check Nigeria,cheki south afrika nk
Yani wew ndo zwazwa aliekwambia wing wa watu ni maendeleo nani yan ukiitwa nyumbu unakuwa nyumbu kwel nenda kaangalie population ya italy imepitwa na Tanzania ila Maendeleo huwez kufananisha kamwe usiishi kwa kukalili kuwa na watu sio maendeleo bali maendeleo yatakuwepo kama hao watu wanajituma sio nyie kanda ya ziwa.mmejazana nyumbu washamba kibao hmn akili hata moja nyie ndo mnaleta njaa mpo weng kama nyumbu kwel🤣🤣🤣🤣🤣🤣siku nyngne usiongee upuuzi wako mbele za watu
 

Attachments

  • inbound6662580335666020067.jpg
    inbound6662580335666020067.jpg
    147.4 KB · Views: 4
Kwa hivyo viwanda ndo unalinganisha na kagera sugar.....
Hivi unajua kagera sugar ipo top five ya viwanda vikubwa vya sukari Africa Mashariki nzima....

Ok...Bukoba kuna kiwanda cha Yetu chai....kuna viwanda vya maziwa kama kahama fresh kilichopo kwenye ranchi kubwa ya kitengule...
Bukoba kuna viwanda vya chaki kama Victoria chalks
Kuna viwanda vya juice kama Mali Juice..hiv unajua bukoba wanalima nanasi...

Kuna viwanda vya maji kibao kama Asilia, Bunena water, Tanica water, kabaga water, Zahra water nk...


Ok njoo na kingine kuhusu Iringa.....
Na kiwanda cha chai bora ndo kiwanda bora cha chai Tanzania kama ulikuwa hujui na Asas ndo kampuni bora la mwaka 2023 kama ulikuwa hujui nyumbu wew
 
Kwa hivyo viwanda ndo unalinganisha na kagera sugar.....
Hivi unajua kagera sugar ipo top five ya viwanda vikubwa vya sukari Africa Mashariki nzima....

Ok...Bukoba kuna kiwanda cha Yetu chai....kuna viwanda vya maziwa kama kahama fresh kilichopo kwenye ranchi kubwa ya kitengule...
Bukoba kuna viwanda vya chaki kama Victoria chalks
Kuna viwanda vya juice kama Mali Juice..hiv unajua bukoba wanalima nanasi...

Kuna viwanda vya maji kibao kama Asilia, Bunena water, Tanica water, kabaga water, Zahra water nk...


Ok njoo na kingine kuhusu Iringa.....
Sasa hvyo viwanda vinauza maji bukoba tu ndo ufanananisha na kiwanda cha dabaga au ivory au chai bora vinavyouza bidhaa nchi nzima duh kwel wew huna akili yani hayo maji hata dar haypo alaf unasema unakiwanda jambo la aibu kuleta viwanda uchwara mbele ya manufacturing Industries vya iringa kwenye viwanda hapo umepotea nyumbu tz hii kila kiwanda kinatafuta soko dar kweny watu weng kisipotoboa soko la dar basi hicho hakitajuliakana sasa nenda supermarket yoyote kaangalie kama hmn bidhaa za ivory dabaga naw chai bora alaf angalia hvyo vijiuchafu vyenu kama vipo pale mliman cty,🤣🤣nyumbu hamjawah kuwa na akili timamu yan unaleta viwanda vinavyojulikna kijijini kwenu huko cc tunaleta kiwanda kinajulikana tz nzima na nje ya nchi kimaa wewe kesho usilete viwanda vyenu vya kuchungiA ng'ombe
 
Yani wew ndo zwazwa aliekwambia wing wa watu ni maendeleo nani yan ukiitwa nyumbu unakuwa nyumbu kwel nenda kaangalie population ya italy imepitwa na Tanzania ila Maendeleo huwez kufananisha kamwe usiishi kwa kukalili kuwa na watu sio maendeleo bali maendeleo yatakuwepo kama hao watu wanajituma sio nyie kanda ya ziwa.mmejazana nyumbu washamba kibao hmn akili hata moja nyie ndo mnaleta njaa mpo weng kama nyumbu kwel🤣🤣🤣🤣🤣🤣siku nyngne usiongee upuuzi wako mbele za watu
Ewe ni bwabwa Sasa hapo nchi gan Ina watu wachache au hujui analysisi
 
Yani wew ndo zwazwa aliekwambia wing wa watu ni maendeleo nani yan ukiitwa nyumbu unakuwa nyumbu kwel nenda kaangalie population ya italy imepitwa na Tanzania ila Maendeleo huwez kufananisha kamwe usiishi kwa kukalili kuwa na watu sio maendeleo bali maendeleo yatakuwepo kama hao watu wanajituma sio nyie kanda ya ziwa.mmejazana nyumbu washamba kibao hmn akili hata moja nyie ndo mnaleta njaa mpo weng kama nyumbu kwel🤣🤣🤣🤣🤣🤣siku nyngne usiongee upuuzi wako mbele za watu
Ngoja nikutoe ujinga na ushamba,
Majiji na miji dunia yanapimwa kwa population, na sio idadi ya maghorofa wa ujinga wowote ule.
Populaton density ni kipimo cha ukuaji wa uchumi mahali husika, kama hakuna watu basi ujue sehemu hiyo haina fursa na si pakutafuta maisha, watu hawazaliana mahala penye njaa na dhiki bali uongezeka sehemu zenye rutuba na sehemu zenye biashara kubwa na mzunguko mkubwa wa pesa, nyie endeleeni kujitia ujinga.
Wasukuma na wahaya wanazalia kwasababu ni watafutaji na wapambanaji na wana afya bora.
 
Yani wew ndo zwazwa aliekwambia wing wa watu ni maendeleo nani yan ukiitwa nyumbu unakuwa nyumbu kwel nenda kaangalie population ya italy imepitwa na Tanzania ila Maendeleo huwez kufananisha kamwe usiishi kwa kukalili kuwa na watu sio maendeleo bali maendeleo yatakuwepo kama hao watu wanajituma sio nyie kanda ya ziwa.mmejazana nyumbu washamba kibao hmn akili hata moja nyie ndo mnaleta njaa mpo weng kama nyumbu kwel🤣🤣🤣🤣🤣🤣siku nyngne usiongee upuuzi wako mbele za watu
Linashindwa hata kujiuliza huko kwao yamerundikana ila yananuka umaskini Kila pande
 
Watu wa kusini mmejengewa stendi basi ndo mnaona maendeleooo

Nenda miji ya kenya haina hizo stendi ambazo mmekopa na mnashindwa kurudisha mikopo
Stendi ya Igumbilo iko empty sijui nani aliwashauri wahamishie stendi pale....kule samora na uhindini kuna baadhi ya nyumba zimechoka sijui ni magofu....



Bado nawaza Iringa inaizidi nini Bukoba.......
Hiv iringa kuna recreation parks kweli pale...maana mnafikiri miji ni kuwa na stendi tu...hata korogwe na nanyumbu kuna stendi
Tuna Kila aina ya Maendelea,mbona husemi hospital? Kagera hakuna hospital ya Mkoa 🤣🤣
 
Sasa hvyo viwanda vinauza maji bukoba tu ndo ufanananisha na kiwanda cha dabaga au ivory au chai bora vinavyouza bidhaa nchi nzima duh kwel wew huna akili yani hayo maji hata dar haypo alaf unasema unakiwanda jambo la aibu kuleta viwanda uchwara mbele ya manufacturing Industries vya iringa kwenye viwanda hapo umepotea nyumbu tz hii kila kiwanda kinatafuta soko dar kweny watu weng kisipotoboa soko la dar basi hicho hakitajuliakana sasa nenda supermarket yoyote kaangalie kama hmn bidhaa za ivory dabaga naw chai bora alaf angalia hvyo vijiuchafu vyenu kama vipo pale mliman cty,🤣🤣nyumbu hamjawah kuwa na akili timamu yan unaleta viwanda vinavyojulikna kijijini kwenu huko cc tunaleta kiwanda kinajulikana tz nzima na nje ya nchi kimaa wewe kesho usilete viwanda vyenu vya kuchungiA ng'ombe
Maneno mengi naona unatambia kakiwanda cha chai na pipi, hata mimi naweza kuwa na kiwanda cha pipi alafu hata mama yng anaweza kutengeneza majani ya chai, leta vitu vya kueleweka, Bukoba sio size yenu nyinyi walugalu.
 
Kwa hivyo viwanda ndo unalinganisha na kagera sugar.....
Hivi unajua kagera sugar ipo top five ya viwanda vikubwa vya sukari Africa Mashariki nzima....

Ok...Bukoba kuna kiwanda cha Yetu chai....kuna viwanda vya maziwa kama kahama fresh kilichopo kwenye ranchi kubwa ya kitengule...
Bukoba kuna viwanda vya chaki kama Victoria chalks
Kuna viwanda vya juice kama Mali Juice..hiv unajua bukoba wanalima nanasi...

Kuna viwanda vya maji kibao kama Asilia, Bunena water, Tanica water, kabaga water, Zahra water nk...


Ok njoo na kingine kuhusu Iringa.....
Sio tuu viwanda unaijua kampuni ya Asas wewe?
 
Back
Top Bottom