ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,276
- 85,143
- Thread starter
-
- #14,381
Hata hvyo wamejithd maana bukoba hmn hotel yoyote ya maanaNimeingia booking.com nimekuta Kahama yote ina hotel 2 tu
Duh Bukoba??si Wana airport??Hata hvyo wamejithd maana bukoba hmn hotel yoyote ya maana
Sasa airport gan ile ina urefu sawa na na kiwanja cha mpira ndo maana ndege znaangukaDuh Bukoba??si Wana airport??
Ndo maana hata unayemreply anakushangaa kimsingi Bukoba ina hotel nyingi kuliko hata hiyo mbeya yenu...au unataka tuanze kupost hotel moja moja....Hata hvyo wamejithd maana bukoba hmn hotel yoyote ya maana
Mbona hujaweka za Mbeya Sasa unaweza hicho kiijiji chako Ili kujifariji? ππππNdo maana hata unayemreply anakushangaa kimsingi Bukoba ina hotel nyingi kuliko hata hiyo mbeya yenu...au unataka tuanze kupost hotel moja moja....
Wew kama unaichukia Bukoba utaendelea kuumia mwenyew...maaana Bukoba itaendelea kukua siku hadi siku...
Google tu yenyew inasema Bukoba kuna hotel 27.....wew ushawahi hata kulala kwenye moja wapo? Kama hulali kwenye gest bubu...
Ingia hapo na uangalie hata reviews
View attachment 2564506
Ndo maana nasema una utoto mwingi na kuongea kama mwanamke...wanaume tunaongea na facts sio hisia....Sasa airport gan ile ina urefu sawa na na kiwanja cha mpira ndo maana ndege znaanguka
Bukoba na Lindi ni kundi Moja zote ni Manispaa majina Kwa vile ni Makao Makuu ya Mikoa tuu π€ͺπ€ͺHmn kitu bukoba bhn stand tu shida ni manispaa ila bdo ina changamoto nyng
Fala wewe,Iringa inaizidi Mbeya Kwa lipi?Iringa inaizid at mbeya
π¨π¨π¨π¨ Za utosi , maumivu yakizidi muone daktari ππππHizo Wala ziskutishe ni hovyo tyu
Huna hoja,Vyuo 2 sijui 3 ndio vimejaza Mji au? Huna hoja ,hizo ni excuses za kitoto..Yaan huo mji wa iringa ukitoa vyuo unabaki nini? Ni kamji kadogo nako kenye slums kibao, nyumba za wahindi na barabara moja ya dual...nothing special with Iringa...
So unatumia hoja ya daladala kulinganisha miji?...sasa daladala si zinawekwa kulingana na mahitaji? Ni kweli watu wa Bukoba wanaumia kukosa daladala? Kama mji unafikika na umefunguka na huduma je kuna ulazima wa daladala?
Kuna miji kama kisumu, Eldoret nchini kenya haina daladala ni bodaboda tu...je Iringa ni mji wa maana kuliko kisumu?
At least Bukoba kuna vitu inaizidi iringa ni vinaeleweka mfano Kuwa accessible na njia zote na usafiri...Bukoba kuna Airport na iko very busy, bukoba kuna bandari mbili na zote zinapokea meli, bukoba inaunganishwa kwa lami na mijj yote mikubwa...
Bukoba imejitosheleza kwa huduma za kijamii kama shule..kuna kata zina sekondari nne...Hospital na vituo vya afya kila mahali nk...
Bukoba ina a lot of hotels at least kuanzia nyota tatu na kuendelea
Bukoba una mtandao mkubwa wa barabara za lami..
Bukoba ni mji wenye kiwanja bora cha mpira hapa nchini...kaitaba..so hata kimchezo iko vzr...
Iringa ukiondoa vyuo kuna nini cha zaidi pale...there is nothing special hata hali ya hewa ya iringa huwezi linganisha na Bukoba bukoba has the best weather ya ukijani
Kadogo kulinganisha na Mji gani Kabukoba kanaweza sogea hata Kwa Iringa kweli?Wew jamaa...hata wew unaweza ukafungua channel yako ya YouTube ukapost content na zikaangaliwa....
But Iringa ni kamji kadogo sana...ingawa ni kasafi
Huna hoja siku hizi wewe dingi,Bukoba inaingia mara 2 Kwa mapato ya Njombe..Acha ujinga kulinganisha na kagera na mikoa ya watu washirikina....
Mbeya ni Jiji wewe mbuzi tena Jiji kubwa Lina mitaa mingi tuu ya maana iliyojengwa vizuri kuliko hako kamtaa kama kamoja hapo Juu na wewe unajua..Mtaa wa miembeni mjini Bukoba....
Leta mitaa kama hii kutoka Mbeya....mbeya ni mji mkusanyiko wa slumsView attachment 2563235
Kahama haitokuja kuwa Mkoa makwe labda sijui wachukue Wilaya zipi maana ukiifanya Mkoa Shinyanga utaifuta au?Nchi hii kupata mkoa mpaka uwe na kiongozi mkubwa anaetokea eneo hilo ndo atie mkazo.kahama hawana ndo maana hawaifikilii,ila ina diserv kabisa kua mkoa,watu milion na ushee,halmashauli 3,ina mapato ya kujiendesha,eneo inajitosheleza.