KONK MASTER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,223
- 512
Akili Yako imeliwa unazan samaki sato na sangara wanaishi Kila ziwa ewe pimbiLake Nyasa wako wakubwa zaidi ya huyu
Akili Yako imeliwa unazan samaki sato na sangara wanaishi Kila ziwa ewe pimbiLake Nyasa wako wakubwa zaidi ya huyu
Sasa kama yanajenga hii mbeya mbona hovyo ata tarura wameshindwa kujenga road ni uchochoro TUJidanganye bwashee,mapato ya ndani hayajengi kwenu labda mapato ya TRA na Madini nk
Wewe ndio hujui na unashangaa ,Sasa Kwa taarifa Yako wanaishi Kila Ziwa na huku Lake Tanganyika ni wakubwa kuliko hao..Akili Yako imeliwa unazan samaki sato na sangara wanaishi Kila ziwa ewe pimbi
Mahitaji ya Barabara ni makubwa kuliko Bajeti ya Makusanyo ya ndani ndio maana pesa za ujenzi zinatoka serikali kuu via Tarura.Sasa kama yanajenga hii mbeya mbona hovyo ata tarura wameshindwa kujenga road ni uchochoro TU
Utajua hujui 👇
Barabara za mtaa zipo chini ya TARURA makusanyo ya halimashaur yanatosha kujenga hizo kilometer 5 sjui nneMahitaji ya Barabara ni makubwa kuliko Bajeti ya Makusanyo ya ndani ndio maana pesa za ujenzi zinatoka serikali kuu via Tarura.
Kati ya Nyanda za Juu Kusini na Lake zone wapi wamewahi kuona lami?🤣🤣🤣 Kweli maendeleo kusini yalichelewa sana naskitika kuona mtu Leo anashangaa Barabara ya lami wakat Kanda ya ziwa ad zipo za pavingi
Sasa km 4 ndio zinatosha kujenga mtandao wa zaidi ya km 700 wa Barabara za mitaa?Barabara za mtaa zipo chini ya TARURA makusanyo ya halimashaur yanatosha kujenga hizo kilometer 5 sjui nne
HaJui historia kuwa lami zilianzia wapKati ya Nyanda za Juu Kusini na Lake zone wapi wamewahi kuona lami?
Bila Mkapa Bado mungekuwa mnalamba Matope ,wewe utakuwa ni mtoto wa juzi.
Wewe ndio hujui na unashangaa ,Sasa Kwa taarifa Yako wanaishi Kila Ziwa na huku Lake Tanganyika ni wakubwa kuliko hao..
Au nikanunue saizi nikuoneshe?
Ndo MJUE huko mmelaaniwa Toka enziSasa km 4 ndio zinatosha kujenga mtandao wa zaidi ya km 700 wa Barabara za mitaa?
Nipostie picha sangara kutoka nyasa na uoneshe evidence mbwa ewe KilaWewe ndio hujui na unashangaa ,Sasa Kwa taarifa Yako wanaishi Kila Ziwa na huku Lake Tanganyika ni wakubwa kuliko hao..
Au nikanunue saizi nikuoneshe?
Lete hyo evidanceHaJui historia kuwa lami zilianzia wap
Mwanza Jiji Barabara za mtaa znajengwa na TARURA tena wanatmia ad paving au maweSasa km 4 ndio zinatosha kujenga mtandao wa zaidi ya km 700 wa Barabara za mitaa?
🤣🤣🤣 Kusini lami kabisa unachekesha mm nmefanya KAZI mbeya miaka yaan ni fulu tope magufuli alpoingia akapendelea zaidi jombe Kwa maana ya mbadala wa mbeya koz mbeya haipangiki na haitapangika hizo GHARAMA hazipo hivo itabaki kuwa Kijiji kikubwa Cha hovyo tzKati ya Nyanda za Juu Kusini na Lake zone wapi wamewahi kuona lami?
Bila Mkapa Bado mungekuwa mnalamba Matope ,wewe utakuwa ni mtoto wa juzi.
Wapi ambako Tarura hawajengi? Mavumbi yameisha hapo Mwanza? Acha utoto basi..Mwanza Jiji Barabara za mtaa znajengwa na TARURA tena wanatmia ad paving au mawe
Mavumbi hat dar yapo ila kia's maana mwanza ni kubwa ata Kwa eneo kuliko Dar lakin sehemu za vumbi mwanza ni chache nazo nimeona Kwa bajet zimewekwa mwez wa nne tayr Kwa ujenziWapi ambako Tarura hawajengi? Mavumbi yameisha hapo Mwanza? Acha utoto basi..
Mbeya ipi Barabara wanajenga hivi inapita isyesye,iwambi,zomve nkWapi ambako Tarura hawajengi? Mavumbi yameisha hapo Mwanza? Acha utoto basi..
Leten evidance pimbi nyie sio blablaHaJui historia kuwa lami zilianzia wap