KONK MASTER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,223
- 512
Building cliff in mwanza
Njombe vs Mwanza 😁😁😁😁😀😀😀😀😀Building cliff in mwanza
View attachment 2561600
Milioni waitoe wapi wakati Mkoa mzima wameongezeka watu 900k tuu Kwa miaka 10?Mwanza cc nyamagana. 426154 ilemela 402175 total 828329 Haya Sasa waliokuwa wanasema population itafika milioni
Ila 800 wa Njombe ni productive kuliko Maskini wa Mwanza 🤣🤣Nikweli uko sahihi
Hao lak nane niweng sana ni sawa na watu wa mkoa mzima wa njombe.
Kwan ew hupost mbeya au vile mbeya ni Kijiji kikubwa kimechangamka ndo unapost et 🤣Njombe vs Mwanza 😁😁😁😁😀😀😀😀😀
Kumbka sisi hao ni Jiji TU ila kwenu mkoa mzima na hamna lolote na Kwa taarifa Yako unajua kabisa hakuna MSUKUMA mvivu kama watu wa KUSINI wamelala yooIla 800 wa Njombe ni productive kuliko Maskini wa Mwanza 🤣🤣
Tatizo Sisi Kanda ya ziwa hatununuag mashoga hivo utatuchkia mpaka unazikwa we danga huko na kingine Kanda ya ziwa inabaraka zake Toka Dunia kuwepo hivo haiwez zimwa na porojo zako zisizo na tifaMilioni waitoe wapi wakati Mkoa mzima wameongezeka watu 900k tuu Kwa miaka 10?
Ndio kusema wameongezeka watu 100k tuu kutoka 700k ya 2012..
Dom hawajaweka takwimu ila pale watakuwa wameongezeka sio chini ya 300,000 na I bet Dom itakuwa na wakaazi 600k hivi.
Hilo jengo ni nyumba ya kupangisha ila nyanda zote kusini hamna jengo kama Hilo leta picha nihame uziNjombe vs Mwanza 😁😁😁😁😀😀😀😀😀
Hatuhangaiki na vitu minor kama hivyo ,tuko busy na 👇Hilo jengo ni nyumba ya kupangisha ila nyanda zote kusini hamna jengo kama Hilo leta picha nihame uzi
Aibu kabisa na Leo ndio nimejua yaani Mapato ya Halmashauri Hadi Mgodi utoe? Huko hakuna biashara za mtaani?Halimashauri ndo serikali hiyo na ndomaana maswala ya kujenga miundombinu wanasubl kupewa hela na serikali kuu ikitenga bajeti na hayo mapato yanatokana na uwekezaji mkubwa kwenye migodi ya madini yanayolipa kodi kubwa na maeneo meng ya biashara
Aibu kabisa na Leo ndio nimejua yaani Mapato ya Halmashauri Hadi Mgodi utoe? Huko hakuna biashara za mtaani?
Bila Mgodi Halmashauri za huko ni hohehahe kimapato
Wapi panakuuma nikutibu? 😁😁Utahangaika sana ewe malaya lakin ukweli unao jizime switch sasa
Utahaha Sasa kama unapenda exposure jitahid uje ujioneee mwenyewe halafu urud kwenu kusimuliwa, pia at kama za mgodi ni sawa maana ni Mali ya wananchi lazima kunufaika naoWapi panakuuma nikutibu? 😁😁
Bajeti ya Geita TC Huwa ni Bil.11 Kati ya hizo Bil.10 ni za Mgodi 😆😆
Inaonesha mtaani maisha yenu ni hovyo sana aisee
Mbeya ichukue Mbalizi iwe Manispaa,Uyole Manispaa na Jiji Mbeya CC itafikia walau watu 650k maana sioni sababu ya eneo la kuanzia Songwe Viwandani kuachwa Nje ya Jiji wakati eneo lote limeungana..MBeYa jiji 468751
Siwezi kuja huko Vijijini,nitaenda Bukoba walau Huwa kunanivutia.Utahaha Sasa kama unapenda exposure jitahid uje ujioneee mwenyewe halafu urud kwenu kusimuliwa, pia at kama za mgodi ni sawa maana ni Mali ya wananchi lazima kunufaika nao
Utateseka mpaka unazikwa kaburini zen utajiona mjinga TU Kwa ukabila wenu wangoni,na wamakondeSiwezi kuja huko Vijijini,nitaenda Bukoba walau Huwa kunanivutia.