Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kwahyo Hela ulotaja sahau mwekezaji kuwekeza labda umekurupuka maana hamtumii akili mnamia kamas kuwaza akili zenu fupi 😂😂
Mradi unatekelezwa kwa phases,Kuna Mgodi wa umeme megawatt 600,Kuna Mgodi wa makaa ya mawe,Kuna Mgodi wa chuma,Kuna kiwanda Cha bidhaa za chuma.

Watu mna vichwa kama ugali mtapata wapi akili? 😀😀😀😀

 
Zamani nilikuwa nadhani Halmashauri ya Tarime,Kahama,Geita Zina mapato mengi sana Kwa Ajili ya shughuli za watu kumbe ni CSR za migodi..

Mtaani hali ni mbaya
 
Nasema hivi , thamani ya investment inayotakiwa Liganga pekee ni dola bil.4.5 yaani Til.10.
Hatujagusa mambo mengine, serikali Iko kwenye mazungumzo ya mwisho na wawekezaji na kumbuka mwekezaji hana Mpango wa kutumia umeme wa Tanesco atazalisha mwenyewe hapo hapo Kwa makaa ya mawe..
Unganisha huto tumiradi twenu haifikii hiyo project Moja.
Hadithi njoo uongo njoo utamu kolea.
 
Mradi unatekelezwa kwa phases,Kuna Mgodi wa umeme megawatt 600,Kuna Mgodi wa makaa ya mawe,Kuna Mgodi wa chuma,Kuna kiwanda Cha bidhaa za chuma.

Watu mna vichwa kama ugali mtapata wapi akili? 😀😀😀😀


Lakin tajir Hela anayo,mbwa ewe Mirad uliyotaja ikifanyika mtanufaikaje Sasa maana naona Haina manufaa kwenu na tunaweka hko malambo ya umeme Kwa sababu ni porin Ili tupate umeme
 
maxresdefault(15).jpg
 
Back
Top Bottom