KONK MASTER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,223
- 512
Kumbe shule ilikupita kushoto unasema SGR mtwara πππ soma vizr kwanzaMkitaka kuwajua Wahaya wasikilize hapa chini ππππ
View attachment 2552951
Kumbe shule ilikupita kushoto unasema SGR mtwara πππ soma vizr kwanzaMkitaka kuwajua Wahaya wasikilize hapa chini ππππ
View attachment 2552951
Kat yangu na wew Nan Hana akili kama kusoma hapo umeshindwa kuelewa πππ wanakwambia specific priority 2023/24 ni SGR,,,lakin pia railway ya mtwara mbambay kwanza Haina faida ishagasiz hyoWewe hutokuja kuwa na akili Hadi unafukiwa ππ
Tumia ubongo sio kamasi pimbi weweWewe hutokuja kuwa na akili Hadi unafukiwa ππ
Vipi kenge wa madaba umekufa auMgodi wa mzungu ndio unaweza kujisifia una akili timamu?
Pili hako kamgodi kama uwekezaji upi wa kuweza kushinda Iron ore ya liganga?
Sgr ya MbambaBay to Mtwara?
Mabwawa ya umeme ya Ruhudji,Lumakali nk?
Usiwe mweupe kama huyo kiasi anayepayuka hovyo hapo.
Kanda ya ziwa haina SGR, haina migodi ya Diamond na Gold pamoja na nikel, kaa kwa kutulia.Mgodi wa mzungu ndio unaweza kujisifia una akili timamu?
Pili hako kamgodi kama uwekezaji upi wa kuweza kushinda Iron ore ya liganga?
Sgr ya MbambaBay to Mtwara?
Mabwawa ya umeme ya Ruhudji,Lumakali nk?
Usiwe mweupe kama huyo kiasi anayepayuka hovyo hapo.
Huo umeme utapelekwa kote Tanzania.Mgodi wa mzungu ndio unaweza kujisifia una akili timamu?
Pili hako kamgodi kama uwekezaji upi wa kuweza kushinda Iron ore ya liganga?
Sgr ya MbambaBay to Mtwara?
Mabwawa ya umeme ya Ruhudji,Lumakali nk?
Usiwe mweupe kama huyo kiasi anayepayuka hovyo hapo.
Hiyo ndio kanda ya ziwa Bukoba a.k.a ka min Rio de JaneiroππππMkitaka kuwajua Wahaya wasikilize hapa chini ππππ
View attachment 2552951
Wafanyakazi,Pesa za ujenzi na mitambo itakuwa Njombe hivyo kuinua GDP ya Mkoa.Huo umeme utapelekwa kote Tanzania.
Nasema hivi , thamani ya investment inayotakiwa Liganga pekee ni dola bil.4.5 yaani Til.10.Kanda ya ziwa haina SGR, haina migodi ya Diamond na Gold pamoja na nikel, kaa kwa kutulia.
Sa hv Dunia inaenda kwenye clean energy.. nani mwekezaji aje arisk pesa ndefu kama hyo Kwa faida isiyo dhidi miaka 10 .Nasema hivi , thamani ya investment inayotakiwa Liganga pekee ni dola bil.4.5 yaani Til.10.
Hatujagusa mambo mengine, serikali Iko kwenye mazungumzo ya mwisho na wawekezaji na kumbuka mwekezaji hana Mpango wa kutumia umeme wa Tanesco atazalisha mwenyewe hapo hapo Kwa makaa ya mawe..
Unganisha huto tumiradi twenu haifikii hiyo project Moja.
Kwahyo Hela ulotaja sahau mwekezaji kuwekeza labda umekurupuka maana hamtumii akili mnamia kamas kuwaza akili zenu fupi ππNasema hivi , thamani ya investment inayotakiwa Liganga pekee ni dola bil.4.5 yaani Til.10.
Hatujagusa mambo mengine, serikali Iko kwenye mazungumzo ya mwisho na wawekezaji na kumbuka mwekezaji hana Mpango wa kutumia umeme wa Tanesco atazalisha mwenyewe hapo hapo Kwa makaa ya mawe..
Unganisha huto tumiradi twenu haifikii hiyo project Moja.
Kwahyo Hela ulotaja sahau mwekezaji kuwekeza labda umekurupuka maana hamtumii akili mnamia kamas kuwaza akili zenu fupi ππ