Moja ya Mji wa hovyo ni Mwanza ,80% ni Slums tena mabanda yasiyo na hadhi ya kuishi binadamu ila nguruwe..
Sijui Huwa mnapata wapi ujasiri wa kujilinganisha na Mji kama Arusha,Dom,Mbeya.
Sehemu nzuri ni za kutafutiza Kwa tochi.
Uko desperate na umechanganyikiwa,mtu unakaa Kakola huko hata Mwanza huijui,hii ni Mwanza mtaa gani? ππππ
View attachment 2550588