Umeishiwa vya ku post kutoka huko Kijijini kwenu..Wanaita Wavuvu Camp ya Bukoba...
Bukoba...mji mdogo...hizo bata sasa...
Tan point loungeView attachment 2539622View attachment 2539624View attachment 2539625View attachment 2539627View attachment 2539628View attachment 2539629
Sweet SwaxOho sumbawanga ina barabara
Tembea uone mkuu..hivyo ni vitu vidogo muno hata mji mdogo wa muleba unavyoView attachment 2537145View attachment 2537147View attachment 2537148View attachment 2537149View attachment 2537150View attachment 2537151
Hii hapaLeta G7 ZA MBEYA
UMEPIGWA ,banzi na nkazinga ...umebaki kutapa tapa![]()
Baada ya kwenda kutafuta mwaka mzima ..ndo unatuletea vya mchongo


Punguza ushamba wewe mbilimbi.,Master Lux ipo siku nyingi sana.Baada ya kwenda kutafuta mwaka mzima ..ndo unatuletea vya mchongo
Utajua hujuiView attachment 2541082View attachment 2541084View attachment 2541087View attachment 2541086View attachment 2541088
Mbona mavumbi na madongo mekundu Kila Kona ...hizo nyumba za mababu zipo katikati ya mji




Hayo mabati yanashida gan ..
Naona umekubali swaga 🔥🔥Hayo mabati yanashida gan ..
Si wayapake Rangi...mji una muonekano mbaya
Lami za Musoma na.Shinyanga ziko wapi? 😜😜Mbona mavumbi na madongo mekundu Kila Kona ...hizo nyumba za mababu zipo katikati ya mji![]()
Kwa hiyo hiyo video ya juzi Hilo bus sio Kilimanjaro au? Acha utoto basiAlileta tangazo anarudi sikataj.... Haya ni lini alirudi? Au alienda japo kwa bahati mbaya![]()
Ndio maana tunaongoza Kwa GDP,,Kwa sababu uchumi uko mikononi mwa watuKwa hiyo hiyo video ya juzi Hilo bus sio Kilimanjaro au? Acha utoto basi
