ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,268
- 85,141
- Thread starter
- #13,861
Atakayeona picha yeyote inayoelezea uzuri wa Mikoa ya wenye njaa anitag Niko palee Namanyere.😜😜
Njombe 👇
Njombe 👇
Atakayeona picha yeyote inayoelezea uzuri wa Mikoa ya wenye njaa anitag Niko palee Namanyere.😜😜
Njombe 👇
Kokote Duniani Watalii wakisikia Serengeti automatically wanajua ni Arusha na ndio maana Arusha Airport na Kia ziko busy huwezi Kuta Mwanza Kuna wazungu wanakuja Ili waende Serengeti 😁😁😁😁.
Bisha tena pimbi Nije na bonge la kwenzi
Kokote Duniani Watalii wakisikia Serengeti automatically wanajua ni Arusha na ndio maana Arusha Airport na Kia ziko busy huwezi Kuta Mwanza Kuna wazungu wanakuja Ili waende Serengeti 😁😁😁😁.
Njombe tena 👇
Unyama sana
Kwa hiyo unataka tukusaidiaje? Mabanda ya nguruwe huko Mwanza yamepangwa na ccm au? 🤣🤣🤣🤣Sikia pimbi nikupe ukweli wa Kijiji chenu Cha mbeya
Siasa zilianza kuiathiri Mbeya tangu enzi za Nyerere. Nyerere hakuipenda kabisa Mbeya.
Hata uwanja wa Sokoine ulitakiwa ujengwe na Wachina, Nyerere akakataa, akaamuru ujengwe na wafungwa. Ukaitwa jina uwanja wa Mapinduzi.
Serikali ilikuwa haijihangaishi na kupanga mji kwa mpangilio. Uzunguni, Uhindini, Soko Matola, 🇬🇭 Ghana, Majengo na Mbata ilipangwa na wazungu na sio CCM.
Serikali ya CCM ilipanga mitaa ya Soweto a.k.a Block Q, Ilimba, Sae, na Block T.
Zaidi ya hapo hamna ilichokifanya, labda ianze kuupanga na kuupima mji kisasa hivi leo
Sisi mji wa kisasa kenge eweKwa hiyo unataka tukusaidiaje? Mabanda ya nguruwe huko Mwanza yamepangwa na ccm au? 🤣🤣🤣🤣