KONK MASTER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,223
- 512
Hawajui hao pimbi maana maendeleo kwao karibia yameanza 2015 pia watu hawawekez huko maana hakuna biashara na watu wa huko hawana muda na refreshment wako bize wanalima halafu tunanua mazao Bei che tunaleta kwetu Kwa biasharaVijiji ni reserv ya mji kutanuka,kama walivyo fanya dodoma jiji,mipaka ya dodoma jiji kuna vijiji na mapoli kuruhusu mji ukue hapo baadae hii ni advantej kwamji,utapo taka kupanda hadhi ya juu zaidi eneo haito kua kikwazo kama ilivyo kikwazo kwa mji wa moshi.
Yeah lakin linasonga nyie endeleeni kutikisa matako mavi yasigande mbilikimo nyieJiji la manyumbu
Hvyo vijiji ni vipo kwenye kata hizo ndo ujue bdo mji haujatanuka ila ukitanuka vijiji havitakuwepoVijiji ni reserv ya mji kutanuka,kama walivyo fanya dodoma jiji,mipaka ya dodoma jiji kuna vijiji na mapoli kuruhusu mji ukue hapo baadae hii ni advantej kwamji,utapo taka kupanda hadhi ya juu zaidi eneo haito kua kikwazo kama ilivyo kikwazo kwa mji wa moshi.
Tushaiona Kila siku mnapost tuliwajengea Hilo soko lakin hiyo bado sana amuken pimbi nyie mkoa hupasw kuwa na soko dogo hivo njoo uone la shinyanga limevunjwa linajengwa upya
Hata utanuke vipi vijiji vipo TU maana eneo ni kubwa Sasa kama NAIROBI yenyew ni ordinary mega city lakin vijiji bado vipo fikiri palefu ewe mbilikimoHvyo vijiji ni vipo kwenye kata hizo ndo ujue bdo mji haujatanuka ila ukitanuka vijiji havitakuwepo
Na SAUT mwanza ni tawi lakini mbeya itakuwa chuo kamili, kweli huwa unaota mchana kweupe.Uwe unaelewa,kinachojengwa Mbeya sio Cha Bukoba..
Udsm ipo Mbeya mwaka wa 6 Sasa wanatumia majengo ya Rufaa Kanda ya Mbeya ,huko wanajenga tawi Mbeya ni University College ,majengo yake yakitimia itakuwa full fledged university kama Saut Mbeya Sasa ni Chuo Kikuu sio tawi tena.
Masoko yanatakiwa kama haya
Hvyo vijiji ni vipo kwenye kata hizo ndo ujue bdo mji haujatanuka ila ukitanuka vijiji havitakuwepoKahama imetanuka sana na ni kubwa balaa,mji una anzia kagongwa mpa unafka mjini ni 20 km.idad ya watu ndo usiseme na wanaongezeka kila kukicha.mkoa mzima wa njombe una watu lak 8 huku wilaya ya kahama ina watu milion 1 na laki mbili.Hvyo vijiji ni vipo kwenye kata hizo ndo ujue bdo mji haujatanuka ila ukitanuka vijiji havitakuwepo
CuCom unaijua? Catholic University College of Mbeya,zamani Saut Mbeya Centre..Na SAUT mwanza ni tawi lakini mbeya itakuwa chuo kamili, kweli huwa unaota mchana kweupe.
Umekula kwanza? 😆😆😆😆Tushaiona Kila siku mnapost tuliwajengea Hilo soko lakin hiyo bado sana amuken pimbi nyie mkoa hupasw kuwa na soko dogo hivo njoo uone la shinyanga limevunjwa linajengwa upya
Sisi afya tele samaki,dagaa,furu,na mananasi ya kutosha unauliza kula majiji ya biashara nyie limen sisi tunanua tunageuza fursa huko lieni na pembejeo mbilikimo nyieUmekula kwanza? 😆😆😆😆
Eti Kila siku tunapost kwani ilikuwa Ina centre ya Watoto?
We ni mbuni kweli hyo hospitali yenu ya mkoa ni ndogo kwa hospitali ya kahama ...Halaf shinyanga tuna hospital ya rufaa kima wew na tunazo kubwa nyingi tu ..kama kolandoto hospital..Shinyanga ni Mkoa Mzee lakini hawana hospital ya Mkoa yenye hadhi kama hii ya Njombe.
Hyo sio wilaya ni manispaa unakosea🤪🤪🤪🤪 Hii ni Wilaya gani?
Ningekuwa siijui mbeya ungedanganya hakuna UDSM mbeya na hii alisemag kikwete waweke taw lakin ikashindikana na eneo waliteuaga ila ukabila wa wanyakyusa ukakwamishaUwe unaelewa,kinachojengwa Mbeya sio Cha Bukoba..
Udsm ipo Mbeya mwaka wa 6 Sasa wanatumia majengo ya Rufaa Kanda ya Mbeya ,huko wanajenga tawi Mbeya ni University College ,majengo yake yakitimia itakuwa full fledged university kama Saut Mbeya Sasa ni Chuo Kikuu sio tawi tena.
Cjakwambia nataka picha za hotel ila natak picha ya CBD ya kahama hotel zipo kila mkoa n
Punguani Hilo linaropoka ooh Sgr na blaa blaa kibao,hivi huyo hajui kwamba Tazara ipo toka miaka ya 70 na ni reli nzuri na Bora Toka zamani?
Eti dry port 😝😝, Tunduma iliyoko border na Kahama wapi Kuna Drypoint Og bila hata serikali kuhangaika na kujenga?.
Huyo kiasi anatakiwa kuelewa kwamba Tunduma inazidiwa mapato na Majiji,na Manispaa za Dar tuu tena baadhi sio Kigamboni na Mkoa wa Songwe ni namba 6 Kwa Kodi Tanzania na 90% ya pesa zinatoka Tunduma harafu analeta blaa blaa za kijinga hapa.
kwani tunduma inaizidi nini kahama we nguruwe kweli yaani wilaya ulinganshe na manispaa...Yaan kitendo tu cha kuwa manispaa hilo ni jibu tosha msijilinganishe na sisi ..Sisi tulinganisheni na manispaa sio mijiNikikuita mpumbavu utalaumu? Jibu swali Kwa vyote hivyo Kahama inaizidi nini Tunduma? Au hivyo vimewasaidiaje hapo gulioni?
Wewe sio tuu mjinga Bali ni mpumbavu wa kukuacha hivyo hivyo na upumbavu wako..Ningekuwa siijui mbeya ungedanganya hakuna UDSM mbeya na hii alisemag kikwete waweke taw lakin ikashindikana na eneo waliteuaga ila ukabila wa wanyakyusa ukakwamisha
Halafu sikia ewe kenge vyuo vya afya ukioa MUHIMBILI inafata BUGANDO mwanza
Kingine chuo Cha SAUT kipo mwanza huko kwenu ni vijitawi,
Mwanza Kuna TIA
DIT
IRDP
MWANZA HEALTH UNIVERSITY
IFM
CHUO CHA UHASIBU
nk
Sa mbona inazidiwa na madarasa ya shule kahama nmewambia kusini mnapewa Mirad kidogo maana hamna faida Kwa taifa at mkifaShinyanga ni Mkoa Mzee lakini hawana hospital ya Mkoa yenye hadhi kama hii ya Njombe.
Mbeya ambayo Haina Barabara,, mbeya ya hovyo Kila idara kenge nyie Jiji la nipen kura nitangaze mji wenu jijiWewe sio tuu mjinga Bali ni mpumbavu wa kukuacha hivyo hivyo na upumbavu wako..
Uko sahihi kabisa haipo