Kahama VS Njombe/Mafinga

🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Alaf unasema kahama ni mji hv unaakili timamu maana mji lzma uwe na CBD yake sasa mji unakuwa kama mtaa wa kihesa pale iringa town
Leta cbd ya mbeya nimekumbuka kucheka na muda mrefu.
 
Hao wachapakazi 80% ni wasukuma walizamia huko kwenye mashamb ya wavivu, tunalima huko tunapata pesa tunaenda kujenga mahotel kahama.
Kwa nini msichape kwenu huko kunakoongoza Kwa umaskini mje kuchapa Kwetu? 😁😁😁

Excuses as usual πŸƒπŸƒ
 
Kahama kuna fursa gan zaid ya biashara tu kaka au unatk useme kuchunga ng'ombe nayo ni fursa
Kanda ya ziwa tunakula mchele kutoka kahama, kahama ni jiji la biashara, kilimo, ufugaji, madini na utalii wa starehe kwa hapa Tanzania.
 
Nguruwe na gombe wanalipa usisahau na uvuvi ndo biashara zetu maana lake zone ni biashara na ndo tunapepea manispaa na majiji soon bukoba itatangazwa Jiji Kaen mkao wa kuskia Hilo pimbi nyie
Kama vinalipa mbona Bado mnaongoza Kwa umaskini Tanzania?
 
Kanda ya ziwa tunakula mchele kutoka kahama, kahama ni jiji la biashara, kilimo, ufugaji, madini na utalii wa starehe kwa hapa Tanzania.
Kama Hilo gulio ndio Jiji Lenu basi nyie ni certified idiots 😁😁
 
Nguruwe na gombe wanalipa usisahau na uvuvi ndo biashara zetu maana lake zone ni biashara na ndo tunapepea manispaa na majiji soon bukoba itatangazwa Jiji Kaen mkao wa kuskia Hilo pimbi nyie
Bukoba hii ambayo haina hata daladala ya town trip
 
Huko huko mnakoyegemea kuishi Kwa chakula Cha njaa Cha Serikali πŸ™†πŸ™†πŸ™†

Jinga hili la Sengerema huko
Ndio sisi tunafunga,tunavua,na ndo biashara je huko Kuna Fursa gan mtu akija afanye si hamna mtaanza et alime viazi Sasa zao la kusubuli msimu ndo maana hamuendelei ila sisi huku masika kiangazi tunapeta TU maana kwetu ni biashara TU mbwa nyie
 
Kama Tazara ipo kwanini manalilia sgr kila wakati, hiyo tazara yenu imetia hasara hii nchi na hakuna faida yoyote huko limebaki kama tembo mweupe ndani ya pori.
 
Acha maneno leta data za mwak huu kama hiyo tunduma inafikisha ata 9 bilion kwa mwaka.
 
Wewe acha kuaibishwa Iringa na Vimiji vya kipumbavu kama Kahama sijui takataka gani huko Usukumani hakuna Mji wakulinganisha na Iringa..

Vimji vyao size yake ni Njombe,Mafinga, Makambako labda na Songea.
Kahama huwezi kulinganisha na mji ambao ukikohoa kidogo kamji kote k iringa kanasikika poleni sana nyie mbayuwayu.
 
Kahama huwezi kulinganisha na mji ambao ukikohoa kidogo kamji kote k iringa kanasikika poleni sana nyie mbayuwayu.
Kahama ina mambo mengi ya kujifunza kwa mkwawa city kuanzia usafi mpangilio uzuri nk ukibisha nakwambia unipe picha ya CBD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…