ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,218
- 85,094
- Thread starter
- #12,881
Picha ya soko kukaa? 🤣🤣🤣🤣Huwa sipendi mtu anayeongea zaidi ya vitendo leta picha.
Picha ya soko kukaa? 🤣🤣🤣🤣Huwa sipendi mtu anayeongea zaidi ya vitendo leta picha.
Wewe Mzee acha excuse hakuna Ofisi ya DPP Mkoa mzima 😆😆Bukoba washatoka huko kwenye ofisi za umma...siku hizi wanajenga vitega uchumi kama malls, conference centre, hotels, AirBNB NK..
Ahsante serikali kuutaja mkoa wa kagera kama maskini...watu wameamuka sana siku hiz...
Sasa ofisi zinawasaidia ni wananchi wa sumbawanga
Eti sumbawanga ina barabara nyingi...wakati unapost kila siku mavumbi na matope hapa...Foleni Iko wapi? Ukitaka nipige picha kwenye foleni ya magari?
Harafu usiwe mbumbumbu, traffic lights huwekwa sehemu ambazo ni hatarishi Kwa Watumiaji wa Barabara.
Mwisho Sumbawanga Ina Barabara nyingi Wala haitegemei Barabara Moja kama huko kwenu kiasi kwamba ukute msululu mreeefu wa magari,walau utaona asubuhi na jioni.



Nionyeshe hayo mavumbi na Matope kama ya Bukoba badala ya kuvuka mate bila ushahidi 🤪🤪Eti sumbawanga ina barabara nyingi...wakati unapost kila siku mavumbi na matope hapa...
Bila kusahau airport iliyopandwa maharage![]()
Kuna jengo hapo limekosa wateja...Kahama na Bukoba hawawezi fikia NjombeView attachment 2537120View attachment 2537121View attachment 2537122
Unaongea lugha gani hiyo?Picha ya soko kukaa? 🤣🤣🤣🤣
Huko huwa tunaomba kuchukua mashamba na kulima sio pa kuishi.Kuna jengo hapo limekosa wateja...
Miji ya kusini ni ya ovyo tu kuanzia njombe, vvawa, Tunduma, mbeya sijui songea nk..
Yote miundombinu mibovu...
Excuses as usual 😂😂😂Kuna jengo hapo limekosa wateja...
Miji ya kusini ni ya ovyo tu kuanzia njombe, vvawa, Tunduma, mbeya sijui songea nk..
Yote miundombinu mibovu...
Bukoba Town miaka ya 1980s...Nionyeshe hayo mavumbi na Matope kama ya Bukoba badala ya kuvuka mate bila ushahidi
Wewe mwenyewe unajua Sumbawanga Ina Barabara Kali Kanda ya Ziwa hakuana..
Nyingine hizi hapaView attachment 2537124
Mavumbi na magofi hayo ni Bora huko Kwa maskini wenzenu 🤪🤪Bukoba Town miaka ya 1980s...
Ni bora kuliko mbeya ya sasaView attachment 2537135
Hivi vitu ata bariadi na nyacheche vimejaa
Tuonyeshe na sisi tuvione 🏃🏃🏃🏃Hivi vitu ata bariadi na nyacheche vimejaa
Wako wanashangaa architecture ya hili kanisa..
Imagine hio Bukoba ya 1980 ni bora kuliko CBD ya Mbeya 2023Mavumbi na magofi hayo ni Bora huko Kwa maskini wenzenu![]()
Umekimbilia Makanisa baada ya kushindwa kuleta hospital 😂😂Wako wanashangaa architecture ya hili kanisa..
Wanajifeel wako Barcelona...
Hili kanisa ukipita lazima ugeuke...
Bukoba Cathedral....View attachment 2537139View attachment 2537140
Bukoba labda uilinganishe na Uyole .Imagine hio Bukoba ya 1980 ni bora kuliko CBD ya Mbeya 2023
Oho sumbawanga ina barabaraUmekimbilia Makanisa baada ya kushindwa kuleta hospital![]()



Naona mitaa kama Tandika na buguruni malapaBukoba labda uilinganishe na Uyole .
Mbeya hii hata Mwanza ikasome
View attachment 2537144
Mbeya gani unayoisemea? Ni hii hapa au Kuna nyingine?

Bukoba Ina magari na Taa za kuongozea magari kumbe ni mavumbi na mabodaboda 🤪🤪🤪Oho sumbawanga ina barabara
Tembea uone mkuu..hivyo ni vitu vidogo muno hata mji mdogo wa muleba unavyoView attachment 2537145View attachment 2537147View attachment 2537148View attachment 2537149View attachment 2537150View attachment 2537151