Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
Mfundisheni huyu ku attach picha anatuumiza macho
Wamekalia yutongMfundisheni huyu ku attach picha anatuumiza machoView attachment 2538316









Ziko wapi?
Jifunze kureply ,,sio Kila mmoja anatumia web ,,,hiyo link yako haisomi.Ziko wapi?
Umeona Kilimanjaro express hapo? Full Scania,
Post in thread 'Kahama VS Njombe/Mafinga' Kahama VS Njombe/Mafinga

Hako kagari kamoja kanawazuzua 😁😁
Mkinga anapeleka G7 mwanzaHako kagari kamoja kanawazuzua
Mkinga

...Hana muda wa kupeleka kwenye jiji chafu la vibanda kama mbeya 



Mkinga anapeleka G7 mwanza...Hana muda wa kupeleka kwenye jiji chafu la vibanda kama mbeya







View attachment 2538453Picha ziko wapi ,,,ruti ya super feo G7 inayoenda mbeyaHuko tunazo siku nyingi wewe mbumbumbu,saizi ni zamu ya kuwatoa ushamba nyie Wasukuma.
Kilimanjaro
Superfeo
Sauli,
Hizi ni Scania luxury ziko siku nyingi ,nyie wa michina saizi ndio tubawatoa tongotongo Sasa,



Wewe ushamba,wenge na ulimbukeni ndio unakusumbua.Mwanza ndio jiji lenye ruti ya VIP kwenda majiji yote isipokuwa mazizi ya Mbeya na Tanga
VIP dar
happy national,alys , phoenix,na travel partner, isamilo
VIP dodoma
satco
VIP Arusha
loliondo ,raqeebView attachment 2538453View attachment 2538455View attachment 2538456View attachment 2538458View attachment 2538464View attachment 2538466
Super feo/Selous za Mbeya to Mtwara unazijua? Unadhani ni sawa na hayo machina yenu ya kindezi?Picha ziko wapi ,,,ruti ya super feo G7 inayoenda mbeya![]()
Leta picha makasiriko ya niniSuper feo/Selous za Mbeya to Mtwara unazijua? Unadhani ni sawa na hayo machina yenu ya kindezi?




Oh .kumbe umeongezea list...Kuna VIP ya Mwanza to MbeyaWewe ushamba,wenge na ulimbukeni ndio unakusumbua.
Isamilo ni nini? Sio VIP? Mbeya sio sawa na huko Kwa qanauka ushuzi wa ng'ombe ,usipoleta VIP class pande hii inakukata,kwanza Barabara zinaruhusu na ustaarabu wa watu unaruhusu,huku hatuingii kwenye bus na mbuzi .

inaitwa isamilo 
