Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Mkeka unaruhusu watu kuleta basi classic
FB_IMG_16748329430852009.jpg
 
Mkoa wa njombe upo kwenye project ya kuanzisha miji mipya na hii imetokana na halmashauri nne kuungana kimakazi tegemea kuona taswira nyingine mkoa wa njombe
A-map-showing-the-study-districts-and-their-respective-wards-in-Njombe-region-Tanzania~3.jpg

FB_IMG_16780704641722221.jpg
FB_IMG_16780704391154126.jpg
FB_IMG_16780706519420939.jpg
FB_IMG_16780811284743955.jpg
 
Huko tunazo siku nyingi wewe mbumbumbu,saizi ni zamu ya kuwatoa ushamba nyie Wasukuma.

Kilimanjaro
Superfeo
Sauli,

Hizi ni Scania luxury ziko siku nyingi ,nyie wa michina saizi ndio tubawatoa tongotongo Sasa,
Super Feo hajawah peleka g7 Mbeya zaidi ya Yutong na Higer

Kilimanjaro alikua anapeleka G6 Andare class na local made wala sio g7 na kwa sasa haendi tena.... Na Kilimanjaro g7 zinaenda Chuga tu

Sauli ni alikua anapeleka pia hio g7 DXE lakini haipo tena

Mwanza g7 zipo muda sana toka hata kabla ya Feo na Sauli kulikua na za Dar Lux DNU na DPK na DNQ series.....
 
Super Feo hajawah peleka g7 Mbeya zaidi ya Yutong na Higer

Kilimanjaro alikua anapeleka G6 Andare class na local made wala sio g7 na kwa sasa haendi tena.... Na Kilimanjaro g7 zinaenda Chuga tu

Sauli ni alikua anapeleka pia hio g7 DXE lakini haipo tena

Mwanza g7 zipo muda sana toka hata kabla ya Feo na Sauli kulikua na za Dar Lux DNU na DPK na DNQ series.....
Eti Kilimanjaro haendi Kwa Sasa 😁😁

Check hii video ya February uone kama Hakuna Kilimanjaro,mwishoni hapo imetangulia Hajjis .
 
Zile DKL yutong na DNZ zilizotumika Dar Songea kwanza?
Huwezi peleka Gari ikiyochoka kwenye route ndefu kama ya Mbeya-Masasi-Tunduru itataga.

Hizo unazozisema wewe xinaishia tunduru na Mbinga na zile za MbambaBay to Kyela..

Mwisho hata Songea-Mbeya ni Bus Mpya tupu..
 
Eti Kilimanjaro haendi Kwa Sasa

Check hii video ya February uone kama Hakuna Kilimanjaro,mwishoni hapo imetangulia Hajjis .
Boss unarely video ya youtube? Kilimanjaro hana ruti ya Dar Mbeya Wala Dar Tunduma Kwa Sasa Na Ni Almost Mwaka Sasa Toka Ameacha Kwenda Huko Na Alianza Kwa Kutoa Ruti Ya Mbeya Na Baada Ya Ile Ajali Ya Senjele Mwaka Jana Hajapeleka Gari Tena.... Kabaki na Arusha Dar na Moshi Dar Maana Hata Ya Dar Lunguza Alishaacha..... Unless unataka Kubishana
 
Boss unarely video ya youtube? Kilimanjaro hana ruti ya Dar Mbeya Wala Dar Tunduma Kwa Sasa Na Ni Almost Mwaka Sasa Toka Ameacha Kwenda Huko Na Alianza Kwa Kutoa Ruti Ya Mbeya Na Baada Ya Ile Ajali Ya Senjele Mwaka Jana Hajapeleka Gari Tena.... Kabaki na Arusha Dar na Moshi Dar Maana Hata Ya Dar Lunguza Alishaacha..... Unless unataka Kubishana
Kwani hujui kwamba Disemba alileta tangazo kwamba anarudi? Hiyo video wewe unaona ni ya lini? Ulitaka iwevideo ya wapi?
 
Huwezi peleka Gari ikiyochoka kwenye route ndefu kama ya Mbeya-Masasi-Tunduru itataga.

Hizo unazozisema wewe xinaishia tunduru na Mbinga na zile za MbambaBay to Kyela..

Mwisho hata Songea-Mbeya ni Bus Mpya tupu..
Songea Mbeya zinaenda hadi namba BUS, CWK, na vile vi Yutong f9 sawa ndo huwa atleast vinakuja vipya..... Ila kwingine hata Songea Dodoma zinaenda gari ambazo zikitumika Dar then zikaja mpya, zile za zamani ndo zinaenda huko.... Labda kwenye DWR kidogo ndo watu wa Dodoma na Mwanza na Moshi walibahatika of which zilikua pia zishaanza kazi Dar Songea

Otherwise Super Feo hajawah weka gari ya gharama kwa huo ukanda wa kusini
 
Leta G7 ZA MBEYA
UMEPIGWA ,banzi na nkazinga ...umebaki kutapa tapa
Kwenye hizo attachments zake.... Hio 171 DZU inaenda Tunduma sio Mbeya, hio super feo na selous hazijawah kanyaga Mbeya, Master Lax hio gari inatembea kwa mwezi sijui mara ngapi na pole kwao gari imepata ajali Jana mikumi, hio Kyela express si local made ina uzuri gani compared hata na Africa Raha
 
Back
Top Bottom