ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,218
- 85,098
- Thread starter
- #12,921
Morogoro labda ushindanishe na Tabora,kuishindanisha na Mbeya unaionea ndio maana Uzi kule haujatembea watu wamesema hakuna pesa huko Moro..Huu mji Ni disgusting..yaani mnatia huruma Hadi machozi ....mji ni tughorofa tutatu tu Kila Mara unatupost . barabara chafu ,,nyumba matope Kila mahala
Mnazidiwa Hadi na Moro TownView attachment 2537202View attachment 2537203
Wewe mwenyewe unaona Kuna nini Cha maana hapo?
Ingawa Kwa mipango Miji Moro ni nzuri kuliko mauswazi ya Mwanza 😜🤪



