ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,218
- 85,094
- Thread starter
- #12,861
Watu wa Mwanza msijali tupo Ili kuwasaidia maisha
Kahama unaifananaisha na mnada wa fisi.Onyesha hayo Matope sio kuandika kama unaharisha, Sumbawanga hakuna mavumbi kama Kahama
Naona matope tu hapo na majani majani.
We Jamaa bwana Katibu Kansa ya Ubongo mapema.Naona matope tu hapo na majani majani.
Kuna miundombinu Kahama haitakaa upate Kwa sababu tuu ni gulio 🤪🤪Kahama unaifananaisha na mnada wa fisi.
Eti nguzo za zege . ,huku zimewekwa vijijini huko kagongwa na mwendakulima ,,,,,We Jamaa bwana Katibu Kansa ya Ubongo mapema.
Sasa kwani wewe huoni Nguzo ziko pembezoni mwa Barabara kuu? Ulitaka uone nini?

.kumbe nyie ndio zinawatoa ushamba 



Onyesha hicho Kijiji hata kimoja acha blaa blaa zisizo na msingiEti nguzo za zege . ,huku zimewekwa vijijini huko kagongwa na mwendakulima ,,,,,.kumbe nyie ndio zinawatoa ushamba
![]()
Hilo soko saiz limejaa na linakwenda hadi saa nne achen ungo kama mmezidiwa mmezidiwa tuKwani uongo lete picha tuone lilivyo occupied niondoke jf milele
Unajichosha kumjibu huyo kenge,soko ambalo liko wazi ni kule airport ya zamani tuu.Hi
Hilo soko saiz limejaa na linakwenda hadi saa nne achen ungo kama mmezidiwa mmezidiwa tu
Kuongoza magari mawili....Kazi za kufunga Taa za kuongoza magari na watembea Kwa miguu zikiendelea ndani ya Sumbawanga MCView attachment 2535699View attachment 2535701View attachment 2535703View attachment 2535705View attachment 2535706View attachment 2536037

Foleni Iko wapi? Ukitaka nipige picha kwenye foleni ya magari?Kuongoza magari mawili....
Sasa hapo magari yako wap?
Nenda Bukoba au kahama kulivyo na foleni ya magari na bodaboda kwenye taa za kuongoza magari...
Taa hata chato zipo![]()
Bukoba washatoka huko kwenye ofisi za umma...siku hizi wanajenga vitega uchumi kama malls, conference centre, hotels, AirBNB NK..Bukoba imepotezwa mbaya sana.
Ujenzi wa Ofisi ya Mwendesha Mashaka DPP Mkoa wa Rukwa ukiendelea hapa Swax View attachment 2536170View attachment 2536171View attachment 2536172
Hilo soko ndo linawaokoa...kwingine ni uchafuzi wa mazingira...
Huwa sipendi mtu anayeongea zaidi ya vitendo leta picha.Hi
Hilo soko saiz limejaa na linakwenda hadi saa nne achen ungo kama mmezidiwa mmezidiwa tu
Hilo soko hamna kitu ni hasara tu labda kama limesaidia kupendezesha li kijiji lao la njombeHilo soko ndo linawaokoa...kwingine ni uchafuzi wa mazingira...
Halafu unasikia serikali wanasema wana maisha bora...maisha bora gan ya kuishi kwenye magofu...
Kahama na Bukoba hawawezi fikia NjombeHilo soko ndo linawaokoa...kwingine ni uchafuzi wa mazingira...
Halafu unasikia serikali wanasema wana maisha bora...maisha bora gan ya kuishi kwenye magofu...