ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,218
- 85,094
- Thread starter
- #12,821
We boya kweli,ziko wapi we mshamba wa gulio la Kahama? Kuleta waraka Kwa wakllosai bila picha hakuna mtu atakuamini.Kahama zipo toka zaman em toa ujinga![]()
We boya kweli,ziko wapi we mshamba wa gulio la Kahama? Kuleta waraka Kwa wakllosai bila picha hakuna mtu atakuamini.Kahama zipo toka zaman em toa ujinga![]()
Ahsante kwa taarifa muda ukifika nitaifutilia, matukio kama haya ya Mubashara huwa yananipita, leo sitoki kwenye tvCSR.. Migodi haina faida ,,,ni ya wazungu..alisikika mnyiha mmoja Toka kampi katoto akiropokwa
View attachment 2536351




Njaa ni mbaya sana,mtakula car? 😁😁😁CSR.. Migodi haina faida ,,,ni ya wazungu..alisikika mnyiha mmoja Toka kampi katoto akiropokwa
View attachment 2536351
Mbeya mpoNjaa ni mbaya sana,mtakula car?



Kwani hapa ni wapi kama sio Mwanza CBD? Kama Iringa tuu maana Mbeya tuna CBD 2 kama Dar
Huyo ni mtaa wa uswazi wa rufiji 2km from cbd🤒🤒🤒Kwani hapa ni wapi kama sio Mwanza CBD? Kama Iringa tuu maana Mbeya tuna CBD 2 kama Dar
Kama 2km ni Nje ya CBD hiyo CBD ni mita ngapi? 🤪🤪Huyo ni mtaa wa uswazi wa rufiji 2km from cbd🤒🤒🤒
Ziko wapi hizo CBD kama darKwani hapa ni wapi kama sio Mwanza CBD? Kama Iringa tuu maana Mbeya tuna CBD 2 kama Dar