Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Acha ushamba wewe unataka ulinganishe bukoba na arusha....kwahio hio mall inajegwa hapo ulinganishe na palm village
Sasa hapa si ulaya hii ni arusha

Na hili jengo linajengwa hapa upande mmoja ni mall ya kisasa ya 7 floors itakua na maduka ya kila aina ...

Afu watu wa arusha wala hajujidai vitu vya kawaida sana hivi
Screenshot_20230226-215203_Chrome.jpg
 
Sasa wewe kweli mshamba

Ndo maana umetoka kwenye vita ya bukoba unaleta picha za dar ndo ujue arusha ni kidume hatulinganishwi na chura yoyote nchi hii nje ya dar....

Sasa wacha nikufundishe palm village ni investment ambayo ndani yake ina real estate, hotel pamoja na mall....

Hilo jengo hapo chini hiyo ni palm village mall ambayo inachukua hiyo front face peke yake na si eti palm village yote ni mall
 
Sasa wewe kweli mshamba

Ndo maana umetoka kwenye vita ya bukoba unaleta picha za dar ndo ujue arusha ni kidume hatulinganishwi na chura yoyote nchi hii nje ya dar....

Sasa wacha nikufundishe palm village ni investment ambayo ndani yake ina real estate, hotel pamoja na mall....

Hilo jengo hapo chini hiyo ni palm village mall ambayo inachukua hiyo front face peke yake na si eti palm village yote ni mall
Am out...siwezi bishana na mtu anayepayuka payuka bila facts...mtu anayetumia matusi na kejeli kwenye kutoa hoja....


Hii ndo too much ego ambayo watu wa huko Kaskazini mnayo..na inawakosti kweli kweli
 
Am out...siwezi bishana na mtu anayepayuka payuka bila facts...mtu anayetumia matusi na kejeli kwenye kutoa hoja....


Hii ndo too much ego ambayo watu wa huko Kaskazini mnayo..na inawakosti kweli kweli
Inatucost ndio maana arusha ni ya pili kwa makusanyo nchi nzima.....

Changanya kanda ya ziwa yote haifikii moto wa arusha
IMG-20230226-WA0013.jpg
 
Sasa wewe kweli mshamba

Ndo maana umetoka kwenye vita ya bukoba unaleta picha za dar ndo ujue arusha ni kidume hatulinganishwi na chura yoyote nchi hii nje ya dar....

Sasa wacha nikufundishe palm village ni investment ambayo ndani yake ina real estate, hotel pamoja na mall....

Hilo jengo hapo chini hiyo ni palm village mall ambayo inachukua hiyo front face peke yake na si eti palm village yote ni mall
Acha wehu .Yeye anaongelea mall sio hizo apartment. Pia huu uzi ni wa Kahama vs njombe acha mihemko
 
Mwanza mtanisamehe ni Kweli tumekubaliana tusifananishe Busan City ya Tanzania na Viazi Village, Nimeshindwa kunywa maji kwa kugugumia nimeamua niwaletee na Viazi Village waone Hili dude linabeba watu 7,000
Screenshot_20230226-112807_1677401029050.jpg
Screenshot_20230226-112843_1677400949642.jpg
Screenshot_20230226-112554_1677401225920.jpg
Screenshot_20230226-112738_1677401114482.jpg
 
Back
Top Bottom