Kitombile za siku ndugu yanguNaona mall ya bukoba itakuwa nzuri kuliko ya arusha.

Nilikuona kwenye thread moja unachangia kuhusu miji ya kenya na tanzania nilipenda uelewa wako kuhusu miji ya kenya tanzania inabidi tufanye kazi sana mkuu kuna mji nlienda kenya unaitwa kericho nlishangaa kukuta flyovers na dual carriage ways kitu ambacho kwetu ni story kubwa sana



