Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Tuoneshe international flights za huko kusini
Hii hapa 👇
JamiiForums-254944052.png

🤪🤪😁😁😁😜😜
 
Best kuliko kusini nzima na kati ya Tanzania....

Imagine Bukoba Airport inazidi Dodoma Airport kwa abiria
Wewe boya umeona building terminal ya New Songea airport? Na Iringa Airport inaendelea na Ujenzi.

Mbeya siwezi itaja sio size na Vimji vya wavuvi.
 
Mtaweza kweli? Kajipangeni upya kwenye sekta ya mabasi VIP ndio mje kushindana na sie
tanzania_buses_daily_1677265281520495.jpg
abcupperclass_1677265207275793.jpg
20230225_211836.jpg
20230225_201107.jpg
20230224_210632.jpg
20230224_210839.jpg
20230224_205238.jpg
20230224_205234.jpg
 
Wewe boya umeona building terminal ya New Songea airport? Na Iringa Airport inaendelea na Ujenzi.

Mbeya siwezi itaja sio size na Vimji vya wavuvi.
Bukoba hayo yalifanywa 2012 huko!! Waliona uhitaji mapema kwa mji wa bukoba...
Kwanza hio Airport itahamishwa tu


Anyway niko mbozi huku....bado sana huku kusini mabasi ya mikoani yanajaza abiria kama daladala hadi watu wanasimama...bado zile motel za mabus ni za ovyo kweli...
 
Bukoba hayo yalifanywa 2012 huko!! Waliona uhitaji mapema kwa mji wa bukoba...
Kwanza hio Airport itahamishwa tu


Anyway niko mbozi huku....bado sana huku kusini mabasi ya mikoani yanajaza abiria kama daladala hadi watu wanasimama...bado zile motel za mabus ni za ovyo kweli...
Ndio mkapata hicho kituko?
 
Wewe boya umeona building terminal ya New Songea airport? Na Iringa Airport inaendelea na Ujenzi.

Mbeya siwezi itaja sio size na Vimji vya wavuvi.
Hio songwe si ndo mnagombania huko iwe songwe au mbeya. International airport domestic routes ni moja no international flights ata za mizigo

Huko si ndo airport wamegeuza mashamba ya viazi
 
Hio songwe si ndo mnagombania huko iwe songwe au mbeya. International airport domestic routes ni moja no international flights ata za mizigo

Huko si ndo airport wamegeuza mashamba ya viazi
Acha uzushi ,tuna atcl na precesion air,
Uwanja uko Mbeya ila una jina la Mkoa wa Songwe ndio linapigiwa kelele libadilishwe.
 
Bukoba hayo yalifanywa 2012 huko!! Waliona uhitaji mapema kwa mji wa bukoba...
Kwanza hio Airport itahamishwa tu


Anyway niko mbozi huku....bado sana huku kusini mabasi ya mikoani yanajaza abiria kama daladala hadi watu wanasimama...bado zile motel za mabus ni za ovyo kweli...
Ukitoa KIA na JNIA ni airport gan tz ina Airport Terminal nzr kama hii ya bukoba...

Jifunze kuappreciate waliokuzidi
images%20(5).jpg
images%20(6).jpg
images%20(4).jpg
images.jpg
images%20(7).jpg
 

Attachments

  • images%20(6).jpg
    images%20(6).jpg
    28.4 KB · Views: 7
Back
Top Bottom