Ta-kibombo
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 648
- 514
This is shycity huwez pata sehem kama hii huko kwenu njombe
This is shycity huwez pata sehem kama hii huko kwenu njombe
Safi hii inaunganisha na songea road na hii inaunganisha halamshauri nne Makambako tc,Njombe dc na wangingombe dc yani mkoa unazidi kufunguka tuUjenzi wa Barabara ya Lami Wanging'ombe kuanza rasmiView attachment 2515771
Mwanza hakuna Barabara Kali ya njia 4 wewe acha upuuzi wako..Acha ulofa, kwani nini maana ya dual carriage. Ushamba wako ndio unakusumbua
We hujawahi kuwa na logic hata siku moja .......singida na sumbawanga Kuna njia nne af mwanza hamna aisee ...Mwanza hakuna Barabara Kali ya njia 4 wewe acha upuuzi wako..
Njia 4 ziko Dar,Dom,Arusha, Sumbawanga,Singida huko kwingine ni vituko..
Ooh sisi tuna meli,haya Sasa chelezo kubwa kuliko zote kujengwa Lake Tanganyika na meli 3 Juu.
Mwanza hakuna Barabara Kali ya njia 4 wewe acha upuuzi wako..
Njia 4 ziko Dar,Dom,Arusha, Sumbawanga,Singida huko kwingine ni vituko..
Ooh sisi tuna meli,haya Sasa chelezo kubwa kuliko zote kujengwa Lake Tanganyika na meli 3 Juu.
Nimetafuta sehem wameandika meli tatu juu na cherezo kubwa east Africa sijaipata.Mwanza hakuna Barabara Kali ya njia 4 wewe acha upuuzi wako..
Njia 4 ziko Dar,Dom,Arusha, Sumbawanga,Singida huko kwingine ni vituko..
Ooh sisi tuna meli,haya Sasa chelezo kubwa kuliko zote kujengwa Lake Tanganyika na meli 3 Juu.

Mwanza hakuna Barabara Kali ya njia 4 wewe acha upuuzi wako..
Njia 4 ziko Dar,Dom,Arusha, Sumbawanga,Singida huko kwingine ni vituko..
Ooh sisi tuna meli,haya Sasa chelezo kubwa kuliko zote kujengwa Lake Tanganyika na meli 3 Juu.
Southern Highlands na Western zone ni sehemu moja sasaMwanza hakuna Barabara Kali ya njia 4 wewe acha upuuzi wako..
Njia 4 ziko Dar,Dom,Arusha, Sumbawanga,Singida huko kwingine ni vituko..
Ooh sisi tuna meli,haya Sasa chelezo kubwa kuliko zote kujengwa Lake Tanganyika na meli 3 Juu.



, wakati tokea miaka hiyo Kigoma inatambulika kama Lake Zone. Bumunda wewe



Umeanza kuomba kampani Western zone si ndioSouthern Highlands na Western zone ni sehemu moja sasa, wakati tokea miaka hiyo Kigoma inatambulika kama Lake Zone. Bumunda wewe
Kwa taarifa zaidi google Lake Zone District wards kama utakosa Kigoma![]()



nimecheka .Anajitia upofu,Vaa miwaniNimetafuta sehem wameandika meli tatu juu na cherezo kubwa east Africa sijaipata.
Nisaidie kuscreenshot hio mahali nione![]()


Nionyeshe Dual carriage road Kali Mwanza badala ya hayo makasiriko Yako yasiyojibu hojaMara Moja Moja uwe unapunguza UPUMBAVU wako hivi wewe ni eukaryotic au prokaryotic mbona Kuna vitu vingine hata mwanafunzi kinda anavijua we fala unakwama wapi?




Nataka written evidence sio porojo za kwenye vijiwe vya kahawaHalafu hujasikia kuwa baada ya meli hii kukamilika itajengwa nyingine ya mizigo ya kubeba tani 3500
Nataka written evidence sio porojo za kwenye vijiwe vya kahawa
Mwanza ni hopelee kabisa
Kwani njia ya kwenda airport ile sio dual?Nionyeshe Dual carriage road Kali Mwanza badala ya hayo makasiriko Yako yasiyojibu hoja![]()
Kwani njia ya kwenda airport ile sio dual?



kile ni kituko ndio maana hakuna hata Taa kwenye grade seperation kuonesha sio standard.