Kahama VS Njombe/Mafinga

Arusha is the best ila Sina ndoto za kuishi Home sweet home According to huu Acha niifikirie kahama mh ila nasikia shinyanga Kuna wachawi balaa amtaki wageni Nini niende zangu tu Goba instead of kigamboni
 
Arusha is the best ila Sina ndoto za kuishi Home sweet home According to huu Acha niifikirie kahama mh ila nasikia shinyanga Kuna wachawi balaa amtaki wageni Nini niende zangu tu Goba instead of kigamboni
na wewe bila shaka umeshkuwa mchawi
 
Sisi tupo kwenye bidhaa za bustani,mbao,chai,Makaa ya mawe,nafaka nk..nadhani umeoverlook.
 
Tunduma TC imetoa ombi rasmi Kwa Serikali Ili kuipandisha hadhi kuwa Manispaa..

Si Haki Halmashauri ya Mji yenye Makusanyo zaidi ya Bil.14 Kwa mwaka kuwa na hadhi ya Mji..


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…