Na vijua Sana Kwan mji si unaanzia kwenye tarafa ndo maandaliz hayo mzee hawaja weka zone hizo kiboya ujue tayari vichwa vimesha umiza kuwa lazima makao makuu yaje kuwa na manispaa kadhaa mbeleni saiz mikoa inayo jielwa inafanya hivyo na hii inachochea Sana maendeleo
Hata njombe hizo halmashauri nne zilikuwa tarafa now ni halmashauri ko ni mipango mwaka 2011 bado zilikuwa tarafa baada ya kugawa mkoa tayari wilaya ya njombe ikatoa halmashauri nne ambayo km za mraba inalingana na mufindi dc na hapo tunaongelea iliyokuwa wilaya ya njombe nje ya wilaya ya makete na ludewA zinazounda mkoa wa njombe
Hata njombe hizo halmashauri nne zilikuwa tarafa now ni halmashauri ko ni mipango mwaka 2011 bado zilikuwa tarafa baada ya kugawa mkoa tayari wilaya ya njombe ikatoa halmashauri nne ambayo km za mraba inalingana na mufindi dc na hapo tunaongelea iliyokuwa wilaya ya njombe nje ya wilaya ya makete na ludewA zinazounda mkoa wa njombe View attachment 2509924View attachment 2509925View attachment 2509926View attachment 2509927
Naiona mwanza inaelekea kuwa Massachusetts ya Tanzania miaka ijayo.. uwekezaji katika taasisi za elimu na teknolojia unazidi kuongezeka Kila siku View attachment 2510241