Kahama VS Njombe/Mafinga

Leta kiwanda cha huko matakoni mwa Tanzania kikubwa zaidi ya hiki
We unashangaza matakoni nyanda za Juu kusini tunapakana na nchi kadha wa kadha,Ndio njia inayoingiza pesa nyingi za kigeni,ndio njia ambayo Mzigo karibu 80% kutoka bandarini unapita,almost mikoa yote ipo kipato kwenye kipato Cha Juu.Kanda ya ziwa inapakana na Rwanda,Burundi,Uganda.Kuweni na adabu kama sio uwingi usio na tija wa Kanda ya ziwa nchi ingekuwa upper middle income country
 
Leta figure ili tuamini huu umbeya wako
 
Leta mpya
Picha ya zamani




Rwanda,Burundi,Uganda.Kuweni na adabu kama sio uwingi usio na tija wa Kanda ya ziwa nchi ingekuwa upper middle income country
 
Chukua hizi data acha kuropoka kama kubwa jinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…