Kahama VS Njombe/Mafinga

Una akili timamau? Sawa ilikuwepo waambie basi watoa taarifa hapo kwamba wamekosea Kwa nini wanaitaja wakati ilikuwepo?
Huu ni Mwanzo tuu wa maumivu,na bado
Nyie hata muwe na bara bara kumi na nne za kwenda ruvuma ila hazitasaidia kitu wewe. Mikoa yote tunaifaha acha kujitia ujinga. Sehemu za maana kusini ni mbalali, tunduma , kyela na kidogo kule nyasa mbamba bay. Nako Wana lake zone ndo Wana drive uchumi wa maeneo hayo.
 
Wivu wenye mchanganyiko na maumivu na chuki 😁😁

Flash your hate hapa kwenye Barabara Kali za Nyanda za Juu Kusini πŸ‘‡
 
Life wapi wewe. Hebu tuonrshe nyumba za wakazi wa Ruvuma.
Coal haiwezi kumfaidisha mtu mmoja mmoja hata siku moja. Usitudanganye. Hebu onesha nyumba za wakazi wa Ruvuma kisha tukuoneshe Nyumba za wakazi wa Kanda ya Ziwa.
Msifike huko yaani picha za mwanza tupost kwenye page hii ya kipumbavu, si tutakuwa na sisi zimetutoka
 
Umeshindwa justify kwa takwimu halafu Bado unaongea sorry kumbe umetapika nisamehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…