Kusanya wilaya zote za kusini pambanisha na manispaa ya kahama 😀😀
Hakuna Siku Kahama itakuja Kukusanya Bil.13 kama mapato ya ndani.Kusanya wilaya zote za kusini pambanisha na manispaa ya kahama 😀😀
Kwamba tunduma imekusanya bilion 13Hakuna Siku Kahama itakuja Kukusanya Bil.13 kama mapato ya ndani.
Hii ni maalum Kwa heavy weight tuu kama Tunduma



Usiwe unkurupuka soma kwanza ndio uelewe..Kwamba tunduma imekusanya bilion 13![]()
We endelea kutembea na assumption sasa ...Usiwe unkurupuka soma kwanza ndio uelewe..
Mwaka huu wa 2022/23 itavuka bil.13 maana Kwa miezi 3 ya kwanza walikusanya bil.3.7 sawa na wastani wa bil.1 Kwa mwezi na Hadi wanapotisha hiyo Bajeti manake ndio mapato watakusanya na wamesema hapo ni ongezeko la 60%.
So itakusnaya zaidi ya hizo by June 30 ,ni vile tuu Waziri wenu wa Sasa wa Tamisemi ni mpuuzi amebadili utaratibu wa Bashungwa kusoma mapato ya Kila kota.
Hata hivyo mwezi ujao Bajeti zinaanza so tutajua actual via Bajeti ya Tamisemi..
Mbeya Kwa mwaka huu hamtukiti,Chunya wameripoti nusu Mwaka Makusanyo ya Bil.4 kiasi kwamba Hadi June 2023 watavuka Bil.7 kutoka 5 ya mwaka uliopita.
Uchawi upoSasa mbona Lindi sio Jiji?![]()

.Lindi na mbeya ni pwagu na pwaguzi.Sawa kabisa,una upumbavu mwingine?Uchawi upo.Lindi na mbeya ni pwagu na pwaguzi.
Mara ngapi nimekuwekea mapato ya Tunduma humu? Au unadhani tunaota? Soma hapa wewe hater wa Nyanda za Juu👇We endelea kutembea na assumption sasa ...
siku ukipata actual data tuletee. hizo kelele za madiwani wako peleka kwenye mikutano yenu ya ccm .sio hapa
Kweny kiswahili tunaita "KUDOGOSHA"Acha dharau wewe, yaani Lindi mji umechoka vile halafu unafananisha na Mbeya
Wewe ndio uchapwe viboko

.Mbeya ni lindi ilochangamka.
.


.Aliyemuelewa huyu kima wa saa nane anitag..Kweny kiswahili tunaita "KUDOGOSHA".Mbeya ni lindi ilochangamka.
Ila watu Wakanda ya ziwa wanaimpact sana, uwez amin species za kisukuma zilivyoamia kule ndo pakachangamka.
Mhe Tulia uref katoa wap wakat asili ya watu wa mbeya ni vijeba, ukichekecha akili unagundua ni mwanakanda ya ziwa kiasili
Southern highlands hawewez kutoa speakers mweny asili ya huko ata kwa 50% siunaona akili za The Sunk Cost Fallacy 2.
Mkuu Njombe mkete Kuna Lami,Njombe-Ludewa inaendelea kujengwa Zege Sasa ni kipande Njombe-Lusitu,Njombe-wanging'ombe baadhi ya maeneo yake yananufaika na Njombe -Makete na Tazam highway.Hivyo yapo maeneo kutokana na umuhimu wake yanapewa lami kuunganisha mkoa na wilaya.Focus ya serikali ni Mkoa Kwa Mkoa ,hizo za Wilayani zisubirie kwanza..
Ndio maana nimekuwa nasema ni upuuzi kuweka Nguvu kubwa kwenye reli ambayo ni useless na kuacha Barabara ambazo ndio zinasaidia ukuaji wa uchumi wa mtu mmja mmja directly.
New baby in Town...Newforce line up at View attachment 2490887Tunduma Bus Stand

Acha kukutoa ufahanu wewe,Kwa hiyo njia ya Mwanza ndio Ina Mabasi na kampuni nyingi kuliko Tanzam? Tuanze list?New baby in Town...
Mwanza route to dar ..inaongoza Kwa njia zote za usafiri isipokuwa maji na train ...View attachment 2491000
Anza .......Kila bus picha Moja tu ..ruti ni mbeya to dar ,,not otherwise wiseAcha utoto wewe,Kwa hiyo njia ya Mwanza ndio Ina Mabasi na kampuni nyingi kuliko Tanzam? Tuanze list?
Ni kweli ila hizo Barabara Zina umuhimu wa kipekee na ziko kimkakati zaidi.Mkuu Njombe mkete Kuna Lami,Njombe-Ludewa inaendelea kujengwa Zege Sasa ni kipande Njombe-Lusitu,Njombe-wanging'ombe baadhi ya maeneo yake yananufaika na Njombe -Makete na Tazam highway.Hivyo yapo maeneo kutokana na umuhimu wake yanapewa lami kuunganisha mkoa na wilaya.