instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,543
- 19,489
Kuna barabara kubwa tu inajengwa kutoka karagwe kwenda Ngara via benacco mkoa wa kagera....Mtapata Barabara kuanzia mwaka ujao wa Fedha Kwa Ajili ya kampeni..
Huko Kuna Sgr na faraja ,Barabara za nini tena?
Awamu hii ni zamu ya Kusini na western
Sasa hiv kwenda karagwe au kyerwa itakuwa sio lazima kupitia Bukoba....


