Hii kwaito imekusaidia Nini sasa?
Mkoa wa Songwe una umuhimu kiusalama Nchini Kwa kuwa uko mpakani so una attention kubwa Kitaifa ndio maana hao maofisa hawakuenda Mwanza Bali wako SongweHii kwaito imekusaidia Nini sasa?
Aliyekuelewa huyu bwana mwenye stress anisaidie😁😁Haya mandiko hata njombe yapo, usichanganye habari ndiyo maana Nina wasi wasi na unachopigania. Jaribu kuchuja jambo ambalo unalippeleka mbele za watu kutamba nalo.
binafsi sijakuelewa hebu soma neno kwa neno kile ulichokiandika halafu uniambie umeelewa niniAliyekuelewa huyu bwana mwenye stress anisaidie😁😁
We jamaa bwana,kwahiyo kwako kuona hiyo picha unaona sehemu nyingine hawakufika/hawaendi?Mbona ata Shinyanga walikuwepo wiki moja na nusu zilizopita?Mkoa wa Songwe una umuhimu kiusalama Nchini Kwa kuwa uko mpakani so una attention kubwa Kitaifa ndio maana hao maofisa hawakuenda Mwanza Bali wako Songwe
Hao wanafunzi wa NDC wametembea karibia kila eneo hapa TZ kujifunza na kutembelea baadhi ya miradi na kazi sasaMkoa wa Songwe una umuhimu kiusalama Nchini Kwa kuwa uko mpakani so una attention kubwa Kitaifa ndio maana hao maofisa hawakuenda Mwanza Bali wako Songwe
Hapana siwazi mavi, nawaza mkundustan wa dad Yako tuuHao wanafunzi wa NDC wametembea karibia kila eneo hapa TZ kujifunza na kutembelea baadhi ya miradi na kazi sasa
Ulivyo mfupi na makalio yapo karibu na ubongo baasi kuda wote unawaza mavi tu!!
Inaizidi Kila kitu kuanzia mapato ya Halmashauri Hadi Ujenzi😀😀😀😀The sunk org kwenye battle 😀😀😀😀😀😀😀. Hii nayo inaizidi Nini kahama kwa akili yako?
Hii linganisha na igunga acha kujutoa akiliChunya ni Town kuliko hata Geita,
👇View attachment 2489636
Nusu Mwaka Mapato Chunya ni bil.4 'Hiyo Igunga Yako mwaka mzima hata bil.3 hawapati.Hii linganisha na igunga acha kujutoa akili
Usilinganishe Nyasa na Namtumbo na Vitu vya ajabu ajabu 👇Unganisha madaba, namtumbo kwa wandendeule na mafinga unapata nzega