shabanmbarak
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 1,178
- 1,151
Kwaio mwanang umejiaminia kabisa ukaona ulete izo picha


.Kumbe mbeya pahovyo hivo
kama lindi tu.Mim nngekua mtu wa mbeya ningekutafuta nkakuchapa viboko. Jaribu kuedit ujue mbeya baada ya mwanza ndo inafatia kwa GDP

