Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kwaio mwanang umejiaminia kabisa ukaona ulete izo picha .

Kumbe mbeya pahovyo hivo kama lindi tu.

Mim nngekua mtu wa mbeya ningekutafuta nkakuchapa viboko. Jaribu kuedit ujue mbeya baada ya mwanza ndo inafatia kwa GDP
 
Kwaio mwanang umejiaminia kabisa ukaona ulete izo picha .

Kumbe mbeya pahovyo hivo kama lindi tu.

Mim nngekua mtu wa mbeya ningekutafuta nkakuchapa viboko. Jaribu kuedit ujue mbeya baada ya mwanza ndo inafatia kwa GDP
Acha dharau wewe, yaani Lindi mji umechoka vile halafu unafananisha na Mbeya
Wewe ndio uchapwe viboko
 
Mbeya ishindane na chato kwa uzuri wa mji
Chato ni mbali na City kubwa ,Mimi nataka uniletee jengo lenye iconic architecture kama hili la Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya hapo Mwanza Jiji 👇
Screenshot_20230118-133527.jpg
 
mwanza3.jpg
mwanza2.jpg

Na Bado moto unawashwa halafu uache ujinga kutuletea ujinga wako vs rock city
 
Hapa Kuna nini Sasa Cha ajabu? Hayo majengo ya Vituo vya Kutolea Haki Jumuishi yanajengwa Mikoa yote.
Sa mbona unatuletea jengo la mahakama unaforce tukujibu kwa picha wakati unajua yapo kila mkoa. Nilikuambia we fala unakasirika nikikujibu akili inakaa sawa, punguza wenge wakati mwingine
 
Back
Top Bottom