Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Leta ushahidiPhienix na Tungi walishajifia
Leta ushahidiPhienix na Tungi walishajifia
Kwa hyo Leo umekiri dodoma Ina majengo mengi ya serikali.pia Ina maskini wengiDodoma majengo mengi ni ya serikali,reasoning ndogo kama hiyo inakushinda?
Pia Dodoma Ina maskini wengi huko Wilayani kuliko Geita.



Ujenzi Dodoma ni expensive kuliko Mwanza na GeitaKwa hyo Leo umekiri dodoma Ina majengo mengi ya serikali.pia Ina maskini wengi![]()
Poor reasoning Huwa ni tatizo linalokusumbua muda mrefu ...hyo sio sababu ya kusema ..kama ishu ni gharama za ujenzi iwe ni sababu, njombe na mtwara zingeongoza kwenye list Kwa sababu ujenzi kwenye mikoa hyo ni cheapUjenzi Dodoma ni expensive kuliko Mwanza na Geita
📌📌 Unatafuta kichaka sasa,Poor reasoning Huwa ni tatizo linalokusumbua muda mrefu ...hyo sio sababu ya kusema ..kama ishu ni gharama za ujenzi iwe ni sababu, njombe na mtwara zingeongoza kwenye list Kwa sababu ujenzi kwenye mikoa hyo ni cheap
Ebu rudia kamanda wangu nadhani sijakuelewa unamaanisha mbeya walifanya uchawi tu na mambo ya kitamaduni na kumroga rais kikwete adi wakapewa hadhi ya jiji😂😂😂😂😂😂😂 ila hili nalo liangaliwe.Uchawi upo.Lindi na mbeya ni pwagu na pwaguzi.
Wew acha kutafuta mlango wa kutokea by the wayUnatafuta kichaka sasa,
Wapi Dar to Kahama?
😂😂😂😂 Manispaa uchwara ya mchongo kutoka kwa Jiwe 🤸🤸.Wew acha kutafuta mlango wa kutokea by the way
Kahama ni jiji kasoro hadhi ya mkoa ..
Dar to kahama
Frester
Kisbo
Happy national
Abood
Hilo jamaa ni boys halina akili limevamia Uzi sijui kutoka wapi 😁😁Ebu rudia kamanda wangu nadhani sijakuelewa unamaanisha mbeya walifanya uchawi tu na mambo ya kitamaduni na kumtoga rais kikwete adi wakapewa hadhi ya jiji😂😂😂😂😂😂😂 ila hili nalo liangaliwe.
Sio hoja. Mbona Kigoma mmewazid majengo wakat population yenu ni ndogo. Nyie kinachowafany mbeya iwe miongon mwa majiji ni sabab ya sera ya serikal juu ya uwepo wa jiji kila kanda tofaut na hapo mbeya haitoboi kwa geitaSasa ulitegemea majengo yawe mengi Les minajiri ipi?


.
.Ata mimi nilikuwa nawaza sana inakuwaje akili za sunk zipo tofauti na speaker mh tulia, leo umenitoa tongotongo.Kweny kiswahili tunaita "KUDOGOSHA".Mbeya ni lindi ilochangamka.
Ila watu Wakanda ya ziwa wanaimpact sana, uwez amin species za kisukuma zilivyoamia kule ndo pakachangamka.
Mhe Tulia uref katoa wap wakat asili ya watu wa mbeya ni vijeba, ukichekecha akili unagundua ni mwanakanda ya ziwa kiasili
Southern highlands hawewez kutoa speakers mweny asili ya huko ata kwa 50% siunaona akili za The Sunk Cost Fallacy 2.
Hao wa Kigoma wanazaana hovyo yaani kwenye banda Moja unakuta watu 6 hadi 8 kama tuu huko Geita 😂😂Sio hoja. Mbona Kigoma mmewazid majengo wakat population yenu ni ndogo. Nyie kinachowafany mbeya iwe miongon mwa majiji ni sabab ya sera ya serikal juu ya uwepo wa jiji kila kanda tofaut na hapo mbeya haitoboi kwa geita
-Mbeya 8.3T GDP.
-Geita 6.6T GDP.
Tofaut 1.7T,hii ni sabab ya sera ya jiji kila kanda,so investment za serikal mbeya ni toafut na geita.
Serikal ikiamua kuwatreat sawa na geita ikatoa kivuli cha jiji la kanda #HAMTOBOI.
Mbeya kanda ya ziwa ni simiyu.
Hilo jamaa ni boys halina akili limevamia Uzi sijui kutoka wapi![]()


kutoka chunya barabara ya vumbi.Hii ni special kutoka maktabaAta mimi nilikuwa nawaza sana inakuwaje akili za sunk zipo tofauti na speaker mh tulia, leo umenitoa tongotongo.


Ulikuwa wapi soja, endelea kuwasha moto.Sio hoja. Mbona Kigoma mmewazid majengo wakat population yenu ni ndogo. Nyie kinachowafany mbeya iwe miongon mwa majiji ni sabab ya sera ya serikal juu ya uwepo wa jiji kila kanda tofaut na hapo mbeya haitoboi kwa geita
-Mbeya 8.3T GDP.
-Geita 6.6T GDP.
Tofaut 1.7T,hii ni sabab ya sera ya jiji kila kanda,so investment za serikal mbeya ni toafut na geita.
Serikal ikiamua kuwatreat sawa na geita ikatoa kivuli cha jiji la kanda #HAMTOBOI.
Mbeya kanda ya ziwa ni simiyu.
Hao wa Kigoma wanazaana hovyo yaani kwenye banda Moja unakuta watu 6 hadi 8 kama tuu huko Geita![]()



acha kuropoka kaka geita ratio ni 1:4.7 na huko kwenu ni 1:3.7.Acha kufananisha Geita na Mji wa machinga.Hao wa Kigoma wanazaana hovyo yaani kwenye banda Moja unakuta watu 6 hadi 8 kama tuu huko Geita 😂😂
Wewe Kwa akili Yako ya michembe na udaga unadhani hizo ratio zinamanisha nini?acha kuropoka kaka geita ratio ni 1:4.7 na huko kwenu ni 1:3.7.
Chunya hakuna mandezi,wewe kiazi utakuwa umetokea Katoro Kijijini huko 🤣🤣kutoka chunya barabara ya vumbi.
Sitak kujua zinamaanisha nin kwako ila kwang hiz ratio zinamaanisha wew mropokaji nguli pia muongo mstaarabuWewe Kwa akili Yako ya michembe na udaga unadhani hizo ratio zinamanisha nini?
.



.