Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Ujenzi Dodoma ni expensive kuliko Mwanza na Geita
Poor reasoning Huwa ni tatizo linalokusumbua muda mrefu ...hyo sio sababu ya kusema ..kama ishu ni gharama za ujenzi iwe ni sababu, njombe na mtwara zingeongoza kwenye list Kwa sababu ujenzi kwenye mikoa hyo ni cheap
 
Poor reasoning Huwa ni tatizo linalokusumbua muda mrefu ...hyo sio sababu ya kusema ..kama ishu ni gharama za ujenzi iwe ni sababu, njombe na mtwara zingeongoza kwenye list Kwa sababu ujenzi kwenye mikoa hyo ni cheap
📌📌 Unatafuta kichaka sasa,

Wapi Dar to Kahama?
 
Ebu rudia kamanda wangu nadhani sijakuelewa unamaanisha mbeya walifanya uchawi tu na mambo ya kitamaduni na kumtoga rais kikwete adi wakapewa hadhi ya jiji😂😂😂😂😂😂😂 ila hili nalo liangaliwe.
Hilo jamaa ni boys halina akili limevamia Uzi sijui kutoka wapi 😁😁
 
Sasa ulitegemea majengo yawe mengi Les minajiri ipi?
Sio hoja. Mbona Kigoma mmewazid majengo wakat population yenu ni ndogo. Nyie kinachowafany mbeya iwe miongon mwa majiji ni sabab ya sera ya serikal juu ya uwepo wa jiji kila kanda tofaut na hapo mbeya haitoboi kwa geita
-Mbeya 8.3T GDP.
-Geita 6.6T GDP.

Tofaut 1.7T,hii ni sabab ya sera ya jiji kila kanda,so investment za serikal mbeya ni toafut na geita.

Serikal ikiamua kuwatreat sawa na geita ikatoa kivuli cha jiji la kanda #HAMTOBOI .

Mbeya kanda ya ziwa ni simiyu .
 
Kweny kiswahili tunaita "KUDOGOSHA" .Mbeya ni lindi ilochangamka.

Ila watu Wakanda ya ziwa wanaimpact sana, uwez amin species za kisukuma zilivyoamia kule ndo pakachangamka .

Mhe Tulia uref katoa wap wakat asili ya watu wa mbeya ni vijeba, ukichekecha akili unagundua ni mwanakanda ya ziwa kiasili

Southern highlands hawewez kutoa speakers mweny asili ya huko ata kwa 50% siunaona akili za The Sunk Cost Fallacy 2 .
Ata mimi nilikuwa nawaza sana inakuwaje akili za sunk zipo tofauti na speaker mh tulia, leo umenitoa tongotongo.
 
Sio hoja. Mbona Kigoma mmewazid majengo wakat population yenu ni ndogo. Nyie kinachowafany mbeya iwe miongon mwa majiji ni sabab ya sera ya serikal juu ya uwepo wa jiji kila kanda tofaut na hapo mbeya haitoboi kwa geita
-Mbeya 8.3T GDP.
-Geita 6.6T GDP.

Tofaut 1.7T,hii ni sabab ya sera ya jiji kila kanda,so investment za serikal mbeya ni toafut na geita.

Serikal ikiamua kuwatreat sawa na geita ikatoa kivuli cha jiji la kanda #HAMTOBOI .

Mbeya kanda ya ziwa ni simiyu .
Hao wa Kigoma wanazaana hovyo yaani kwenye banda Moja unakuta watu 6 hadi 8 kama tuu huko Geita 😂😂
 
Sio hoja. Mbona Kigoma mmewazid majengo wakat population yenu ni ndogo. Nyie kinachowafany mbeya iwe miongon mwa majiji ni sabab ya sera ya serikal juu ya uwepo wa jiji kila kanda tofaut na hapo mbeya haitoboi kwa geita
-Mbeya 8.3T GDP.
-Geita 6.6T GDP.

Tofaut 1.7T,hii ni sabab ya sera ya jiji kila kanda,so investment za serikal mbeya ni toafut na geita.

Serikal ikiamua kuwatreat sawa na geita ikatoa kivuli cha jiji la kanda #HAMTOBOI .

Mbeya kanda ya ziwa ni simiyu .
Ulikuwa wapi soja, endelea kuwasha moto.
 
Wewe Kwa akili Yako ya michembe na udaga unadhani hizo ratio zinamanisha nini?
Sitak kujua zinamaanisha nin kwako ila kwang hiz ratio zinamaanisha wew mropokaji nguli pia muongo mstaarabu .

-Umesema geita nyumba moja wanakaa watu 6 mpka 8,hiz data umetoa wap .

-According to statistics nyumba moja geita inawatu 4 mpka 5 nzur kabisa kiafya.
 
Back
Top Bottom