Kahama VS Njombe/Mafinga

Unaongelea vibarabara vya lami wakati wenzio walishatoka huko, sasa tunawazia megaproject tu, hivyo vimradi vya barabara huwa tunajenga wenyewe kwa mapato yetu😝😝😝😝😝😝😜😜
Mlitoka lini wewe pimbi Kila siku unalia lia humu na kuomba lami? Ziko wapi?

Mngekuwa na lami huko Wilayani tusingekunywa maji.

Niulize hivi pale Misungwi Kuna lami hata ya km 2 mjini maana last time kulikuwa mavumbi tupu.

Endelea kuugulia maumivu πŸ‘‡
 
Ameikuta wapi? Inatakiwa kukamilika Kwa miaka mingapi? Mabula akihojiwa na Nyanda alisema miradi ilikwama kuanzia ya maji Hadi stand ni Rais Samia kaikwamua
Eti Miradi ilikwama mama kaikwamua ,,,rais kaingia madarakani tayari wakandarasi wako site na budget ishatengwa ...Cha maana labda useme SGR ya tabora isaka ndio Samia kasainisha mkandarasi mwenyew
 
Last time.umefika Lin misungwi wew ....au unaisikia tu ,,, unadhani hyo ni rungwe ya walima ndizi
 
Misumgwi mjini mpaka usagara kuna lami za kutosha za mitaani na za kuelekea kwenye huduma za kijamii na taasisi mbalimbali, karibu misungwi, karibu copenhagen ya Africa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…