YAh niliusikiliza maana ulikuwa liveUlishapita na dhima kuu ilikuwa na kupata mrejesho wa uwekezaji wa liganga na mchuchuma.
Hakuna Wilaya isiyo na lami MbeyaKwan mbeya Kila wilaya zinajengwa lami ....
Hata hivyo mwanza ni maJimbo mawili tu ya sumve na buchosa ndio hakujaunganishwa lami .. kwingine kote lami
Wewe Mbeya huijui,kote huko kuna lami,Busokelo Iko Rungwe na ukiacha ya TanRoads,Tarura wamejenga lami mpya..Busokelo Kuna lami,,,,ileje je
Unapenda kujifariji Kwa kujipa majina yasiyoendana hata na nyie ..Miti ya kivuli ni green gold lazi muelewe tunavo wambia green gold city mwendo wa kuifukuzia mexico
View attachment 2480965
Mi Nazungumzia majimbo we unaleta masuala ya rungwe ...nasema Jimbo la busokelo. Kuna lami hukoWewe Mbeya huijui,kote huko kuna lami,Busokelo Iko Rungwe na ukiacha ya TanRoads,Tarura wamejenga lami mpya..
Ileje Kuna lami inaanzia isongole Hadi Tunduma na nyingine ndio nimewaobesha mkataba utatiwa Saini mwezi wa pili kutoka kyela Hadi Ileje/Kasumulu.
Mzee utasumbuka Sana green gold city ndo inapepea mzee miti ya kivuli ni green gold na Kila nyumba inayo jengwa laZima parachichi limepandwaUnapenda kujifariji Kwa kujipa majina yasiyoendana hata na nyie .....nyie njombe aka nyumba nitu ...
Busokelo Iko ndani ya Rungwe,lami ni kama zoteMi Nazungumzia majimbo we unaleta masuala ya rungwe ...nasema Jimbo la busokelo. Kuna lami huko
Mkoa wa Mbeya mwaka huu wa 2022/23 tutavunja rekodi ya Makusanyo ya Halmashauri..
Chunya out of 5.3bln wamekusanya 3.9bln Kwa nusu mwaka ndio kusema Hadi June mapato yataenda kwenye 7bln.👇
Yako wapi? Unaacha kuleta figures unaleta hadithi zisizo na msingi? 😁😁Hv umeshaona mapato ya ilemela nusu mwaka?
Miradi mikubwa hupelekwa kwenye mikoa mikubwa ..
Soko kuu ni 20.7 bilionMiradi mikubwa hupelekwa kwenye mikoa mikubwa ..
Kazi inaendelea kwenye hii miradi
JPM bridge -=700 bilion value
,mv mwanza =bilion 80 value
Mradi wa maji =bilion 300
Stendi ya nyegezi =bilioni 16
Jengo la abiria terminal 1 =bilion 12
Soko kuu =bilion 15
JUMLA = trilion 1.13
Wakati miradi yote nyanda za juu haifikii hata milion 500
Na hapa nimezungumzia mkoa mmoja ..
Nyie endeleeni kushangilia barabara ya kasumuluView attachment 2482601View attachment 2482603View attachment 2482605View attachment 2482614View attachment 2482617View attachment 2482619View attachment 2482621
Hizi bilion 300 za maji zimetoka lini? Me sina uhakika mkuu kama kweli hizo pesa zililetwa kwaajili ya maji.Miradi mikubwa hupelekwa kwenye mikoa mikubwa ..
Kazi inaendelea kwenye hii miradi
JPM bridge -=700 bilion value
,mv mwanza =bilion 80 value
Mradi wa maji =bilion 300
Stendi ya nyegezi =bilioni 16
Jengo la abiria terminal 1 =bilion 12
Soko kuu =bilion 15
JUMLA = trilion 1.13
Wakati miradi yote nyanda za juu haifikii hata milion 500
Na hapa nimezungumzia mkoa mmoja ..
Nyie endeleeni kushangilia barabara ya kasumuluView attachment 2482601View attachment 2482603View attachment 2482605View attachment 2482614View attachment 2482617View attachment 2482619View attachment 2482621
Mradi wa maji butimbaHizi bilion 300 za maji zimetoka lini? Me sina uhakika mkuu kama kweli hizo pesa zililetwa kwaajili ya maji.
Hakika hapo sawa, unajua mimi nilipigia tu butimba zile 69 bilioni.Mradi wa maji butimba
Mradi wa maji buchosa
Mradi wa maji kwimba
Matenk ya buswelu na maeneo mbalimbali mwanza
Miradi ya maji ukerewe
Miradi ya maji magu
Miradi ya maji misungwi
Na miradi ya maji sengerema..
.total value bilioni 300