Inashangaza,sielewi nini kinakwamisha miradi ya barabara tena muhimu,mfano kuna barabara muhimu inayounganisha kanda ya ziwa na kaskazini kupitia kusini mwa serengeti,hii barabara ya Kolandoto-Meatu-sibiti mpaka karatu ni njia ya mkato kueleka Mikoa ya kaskazini,ikifunguliwa itachangamsha sana biashara baina ya kanda hizi mbili kwani watu wakutoka Tabora,Kagera,Geita,Mwanza,Shy,Simiyu,Kigoma hawatakua na ulazima wakuzungukia Singida-Babati.Pia kuna barabara muhimu kama ya Kahama-kakola-geita,Kahama-Tabora nk.