Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Ebu Tutolee mawazo yako takataka hapa .miradi yote ya maji mama kaikuta ,,,,,sijaona mradi Mpya aliouanzisha ...kama ruwasa na project zake zimeanzishwa awamu ya Tano .Ikumbukwe Mwendazake alishindwa kutatua shida ya Maji Mwanza ila Dk.Samia ameweza.
cc Mjumbe wa NEC
cc Chawa wa Samia





