Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Miradi mikubwa hupelekwa kwenye mikoa mikubwa ..
Kazi inaendelea kwenye hii miradi
JPM bridge -=700 bilion value
,mv mwanza =bilion 80 value
Mradi wa maji =bilion 300
Stendi ya nyegezi =bilioni 16
Jengo la abiria terminal 1 =bilion 12
Soko kuu =bilion 15
JUMLA = trilion 1.13

Wakati miradi yote nyanda za juu haifikii hata milion 500
Na hapa nimezungumzia mkoa mmoja ..
Nyie endeleeni kushangilia barabara ya kasumulu View attachment 2482601View attachment 2482603View attachment 2482605View attachment 2482614View attachment 2482617View attachment 2482619View attachment 2482621
Tuna mradi wa Maji wa Kiwira pale Mbeya Bil.250 una habari Mzee?
 
Ebu Tutolee mawazo yako takataka hapa .miradi yote ya maji mama kaikuta ,,,,,sijaona mradi Mpya aliouanzisha ...kama ruwasa na project zake zimeanzishwa awamu ya Tano .
cc Chawa wa Samia
Ameikuta wapi? Inatakiwa kukamilika Kwa miaka mingapi? Mabula akihojiwa na Nyanda alisema miradi ilikwama kuanzia ya maji Hadi stand ni Rais Samia kaikwamua 😁😁
 
Miradi mikubwa hupelekwa kwenye mikoa mikubwa ..
Kazi inaendelea kwenye hii miradi
JPM bridge -=700 bilion value
,mv mwanza =bilion 80 value
Mradi wa maji =bilion 300
Stendi ya nyegezi =bilioni 16
Jengo la abiria terminal 1 =bilion 12
Soko kuu =bilion 15
JUMLA = trilion 1.13

Wakati miradi yote nyanda za juu haifikii hata milion 500
Na hapa nimezungumzia mkoa mmoja ..
Nyie endeleeni kushangilia barabara ya kasumulu View attachment 2482601View attachment 2482603View attachment 2482605View attachment 2482614View attachment 2482617View attachment 2482619View attachment 2482621
The Sunk Cost Fallacy 2 au mbeya iitwe mwanza
 
Hujui namna ya kupresent hoja ...huoni mm nimetuma Hadi vithibitisho vya miradi .haya maneno matupu nani anasikiliza
Acha porojo wewe 👇
Screenshot_20230115-221733.jpg
Screenshot_20230115-221615.jpg


 
Mwanza yote ni jangwa nani anaweza bisha? Mtu anaishi Kwimba sijui Kisesa au Misungwi yaani ni hali mbaya ila unajitutumua tuu hapa..
Ungeleta picha ,,tungeamini ,lakin Maneno matupu ni nonsense ....unadhani huku ni kama Kwa shemeji zako dodoma
Like malorca Spain
dalali_peter_mwanzatz_322051989_879989113134997_5496715514209039407_n.webp.jpg
 
Miradi mikubwa hupelekwa kwenye mikoa mikubwa ..
Kazi inaendelea kwenye hii miradi
JPM bridge -=700 bilion value
,mv mwanza =bilion 80 value
Mradi wa maji =bilion 300
Stendi ya nyegezi =bilioni 16
Jengo la abiria terminal 1 =bilion 12
Soko kuu =bilion 15
JUMLA = trilion 1.13

Wakati miradi yote nyanda za juu haifikii hata milion 500
Na hapa nimezungumzia mkoa mmoja ..
Nyie endeleeni kushangilia barabara ya kasumulu View attachment 2482601View attachment 2482603View attachment 2482605View attachment 2482614View attachment 2482617View attachment 2482619View attachment 2482621
Hio meli inaisha lini?


Maana naona wanapanua bandari za bukoba na kemondo huku...
 
Unaongelea vibarabara vya lami wakati wenzio walishatoka huko, sasa tunawazia megaproject tu, hivyo vimradi vya barabara huwa tunajenga wenyewe kwa mapato yetu😝😝😝😝😝😝😜😜
 
Miradi mikubwa hupelekwa kwenye mikoa mikubwa ..
Kazi inaendelea kwenye hii miradi
JPM bridge -=700 bilion value
,mv mwanza =bilion 80 value
Mradi wa maji =bilion 300
Stendi ya nyegezi =bilioni 16
Jengo la abiria terminal 1 =bilion 12
Soko kuu =bilion 15
JUMLA = trilion 1.13

Wakati miradi yote nyanda za juu haifikii hata milion 500
Na hapa nimezungumzia mkoa mmoja ..
Nyie endeleeni kushangilia barabara ya kasumulu View attachment 2482601View attachment 2482603View attachment 2482605View attachment 2482614View attachment 2482617View attachment 2482619View attachment 2482621
Umesahau sgr
 
Tunawatakia safari njema kwenye kusafirisha hayo mazao kuelekea Dar, nyie mlishafanywa kama mashamba ya bibi.
Huna lolote zaidi ya wivu 😁😁

Jumla ya Km 87 za lami sinatandikwa Vijijini 👇

 
Back
Top Bottom