Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Mwanza hakuna hata barabara Moja ya tanroad lkn nawaambien Kanda ya ziwa ni kama maji usipoyaoga utayanywa
Kwanini hawataki serikali za majimbo kila sehemu ile urefu wa kamba yake, tumechoka rasilimali zetu kufaidisha watu wavivu waliolala.
 
Siku mkibomoa daraja la kigongo busisi ndio serikali hii itawakumbuka.
Kwani kaka ...mbeya lami Gaan ya maana wanayojengewa ukiacha upanuzi wa barabara ya igawa ,,,.....
Kama ni hizo lami za makete ,,,ni barabara za kuunganisha mikoa ,,,,
Kanda ya ziwa barabara za kuunganisha mikoa tayari zote Zina lami ...
 
Kwani kaka ...mbeya lami Gaan ya maana wanayojengewa ukiacha upanuzi wa barabara ya igawa ,,,.....
Kama ni hizo lami za makete ,,,ni barabara za kuunganisha mikoa ,,,,
Kanda ya ziwa barabara za kuunganisha mikoa tayari zote Zina lami ...
Ndio tunazitaka hizo za kuunganisha Mikoa kwani wewe unataka lami gani?
 
Kwani kaka ...mbeya lami Gaan ya maana wanayojengewa ukiacha upanuzi wa barabara ya igawa ,,,.....
Kama ni hizo lami za makete ,,,ni barabara za kuunganisha mikoa ,,,,
Kanda ya ziwa barabara za kuunganisha mikoa tayari zote Zina lami ...
Simiyu na mikoa ya kaskazini imeunganishwa?
 
Huku tayari zipo ...
Sa Hivi tuna deal multi bilion projects,,,sio vibarabara uchwara hivyo ambavyo total budget haifikii hata 200 bilioni
Kama wewe ndio mjumbe wa neck huko ccm basi chama kimeoza .

Unajua gharama ya kujenga Barabara ya km 97 ya Makete -Njombe ni bei gani?

Makongolosi -Rungwa-Itigi/Tabora km 345 ni bei gani?
 
Back
Top Bottom