Kahama VS Njombe/Mafinga

Miji ya kanda ya ziwa hazina matambo mengi.
Vitu simple tu navyakuvutia na mwendo wa kimya kimya.Mradi wa tactis wa Benki ya dunia unaokuja ni wakuja kujazia jazia
 

Attachments

  • 20230113_224456.jpg
    20230113_224456.jpg
    53.2 KB · Views: 8
  • 20230113_235233.jpg
    20230113_235233.jpg
    82.1 KB · Views: 7
Hii miradi niliiona nikashangaa shy walivyojipanga ila nilikuwa nasubiri iishe ndio niimwage naona umeniwahi
Bukoba naona wametangaza tender za miradi kibao...sijui ndo tactic au nini ngoja nifuatilie vzr...

Ila kinachonifurahisha ni stendi kuendelea kule kyakairabwa na michoro kubaki ile ile kama ilivyokuwa kwenye master plan ya manispaa hii...


NB..jengo la wasafiri litabaki vilevile.
Screenshot_20230110-210306~2.jpg
Screenshot_20230110-210146~2.jpg
images%20(7).jpg
images%20(6).jpg
 
Ukiachana na hio barabara...hapo ndo sumbawanga mjini?...

Kama ni kweli...bado sana huo mji...tazama hata barabara za mitaa...na kutu kwenye nyumba
Barabara za mitaa na kutu kwenye nyumba vimefanya nini? Barabara za Mitaa ya Bukoba ziko wapi?

Eti ukiondoa hiyo Barabara 😂😂 uondoe uipeleke wapi? Hapa Mjini Kuna mtandao wa Barabara za Mitaa zaidi y km 32 kabla ya Barabara kuu.
 
Acha porojo shy town kumbe wanajenga masoko, stendi na recreational parks kila kata, wewe na mikoa yenu mkibaki kusubiria Igawa road😜😜😜😜😜
Soko lenyewe na stand ndio hivyo vi render kama vya mabanda ya machinga? 😁😁😁😁.

Stand Kila kata 🤣🤣🤣🤣 mtakuwa mnapaki mabaiskeli yaliyojaa hapo Shinyanga au?
 
Back
Top Bottom