Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Hii miradi niliiona nikashangaa shy walivyojipanga ila nilikuwa nasubiri iishe ndio niimwage naona umeniwahi
Bukoba naona wametangaza tender za miradi kibao...sijui ndo tactic au nini ngoja nifuatilie vzr...

Ila kinachonifurahisha ni stendi kuendelea kule kyakairabwa na michoro kubaki ile ile kama ilivyokuwa kwenye master plan ya manispaa hii...


NB..jengo la wasafiri litabaki vilevile.
Screenshot_20230110-210306~2.jpg
Screenshot_20230110-210146~2.jpg
images%20(7).jpg
images%20(6).jpg
 
Ukiachana na hio barabara...hapo ndo sumbawanga mjini?...

Kama ni kweli...bado sana huo mji...tazama hata barabara za mitaa...na kutu kwenye nyumba
Barabara za mitaa na kutu kwenye nyumba vimefanya nini? Barabara za Mitaa ya Bukoba ziko wapi?

Eti ukiondoa hiyo Barabara 😂😂 uondoe uipeleke wapi? Hapa Mjini Kuna mtandao wa Barabara za Mitaa zaidi y km 32 kabla ya Barabara kuu.
 
Acha porojo shy town kumbe wanajenga masoko, stendi na recreational parks kila kata, wewe na mikoa yenu mkibaki kusubiria Igawa road😜😜😜😜😜
Soko lenyewe na stand ndio hivyo vi render kama vya mabanda ya machinga? 😁😁😁😁.

Stand Kila kata 🤣🤣🤣🤣 mtakuwa mnapaki mabaiskeli yaliyojaa hapo Shinyanga au?
 
Shopping mall na wasukuma wapi na wapi Mzee? Ukute ni maduka mtu unaita shopping mall 😁😁

Itakuwa ni mapambo kama Rocky city
Kwani wakijenga mashopping malls kuna tabu? Shy itakuwa manispaa ya pili kuwa na shopping mall itazipiku majiji kama mbeya, dodoma, Tanga ambayo hayana shopping malls, go shy go.....
 
Soko lenyewe na stand ndio hivyo vi render kama vya mabanda ya machinga? 😁😁😁😁.

Stand Kila kata 🤣🤣🤣🤣 mtakuwa mnapaki mabaiskeli yaliyojaa hapo Shinyanga au?
Nani kakudanganya hizo ni render?Hiyo ni miradi inayoendelea kujengwa kwa pesa za ndani za halmashauri.Hizo stand zinajengwa kuna mfumo maalum unaandaliwa wa usafiri wa ndani ya mji ambapo kutatumia magari yakisasa kutoa huduma ndani ya mji.Majengo yakisasa ya machinga unayosema mabanda yamachinga yamejengwa Mnara wa voda,ngokolo mitumban nk.Render zitakazokushangaza zamiradi yakujengwa mwaka huu ndio utatoa povu zaidi,kama vile stand kuu ya mkoa ibadakuli,Parking ya malori buhangija,Shopping mall,EPZ old shy,Soko kubwa la kambarage,Ukumbi wa kimataifa wa mikutanonk.Hapo bado hatujaweka miradi ya kitaifa kama Stesheni ya Sgr,uwanja wa ndege ibadakuli,barabara mchepuko,viwanda vikubwa vya bidhaa
 
Nani kakudanganya hizo ni render?Hiyo ni miradi inayoendelea kujengwa kwa pesa za ndani za halmashauri.Hizo stand zinajengwa kuna mfumo maalum unaandaliwa wa usafiri wa ndani ya mji ambapo kutatumia magari yakisasa kutoa huduma ndani ya mji.Majengo yakisasa ya machinga unayosema mabanda yamachinga yamejengwa Mnara wa voda,ngokolo mitumban nk.Render zitakazokushangaza zamiradi yakujengwa mwaka huu ndio utatoa povu zaidi,kama vile stand kuu ya mkoa ibadakuli,Parking ya malori buhangija,Shopping mall,EPZ old shy,Soko kubwa la kambarage nk.Hapo bado hatujaweka miradi ya kitaifa kama Stesheni ya Sgr,uwanja wa ndege ibadakuli,barabara mchepuko,viwanda vikubwa vya bidhaa
Jifunze kutupia picha vizuri
 
Back
Top Bottom