Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Ukinionesha barabara uko usweken ni four ways, ntakuonesha service road
Hivi wewe kiazi unadhani Sumbawanga ni sawa na huko porini Kwa wavuvi?

Utakuwa ni mgeni humu jukwaani bila shaka.

Utaaibika Bure,Mwaloni zone nzima hakuna Barabara kama hii
👇
20230113_215304.jpg
20230113_215257.jpg
20230113_215301.jpg
 
Hapo ndio mjini center ya sumbawanga
Umeanza kutafuta excuses 😁😁
Hapo sio Katikati ya Mji,Mjini ni sehemu nyingine kabisa nilikoweka zile picha za Mwanzo ndio maana huzioni kwenye picha ya Sasa..

Ni mwendo wa spana tuu Hadi akili ziwakae sawa,unaona draft hii? No uswazi huku👇
DSC_0153-1024x684.jpg
FB_IMG_1673635877838.jpg
FB_IMG_1673635883382.jpg
 
Sema unapenda sana kuona picha za mwanza..kama unapapenda si uje tu ...kama ishu nauli ,sema ,,,,..by the way Kuna premier line na ruchoro zinatoka hapo sumbawanga Kila siku asubuhi kuja mwanza
Wacha ushamba,Barabara ziko wapi?

Sumbawanga 👇
 
Back
Top Bottom