Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Zoezi la uwekaji taa za tanroads likiendelea ..
Kahama inazidi kuwa on


Zoezi la uwekaji taa za tanroads likiendelea ..


Jamaa eti anakaza misuli na visehem vyake ajui mwanza inapokea pesa ndef kweny mirad yake kuzid jumla ya pesa zote zinazopelekwa nyanda za juu kusinimnyooshe huyu


Jamaa eti anakaza misuli na visehem vyake ajui mwanza inapokea pesa ndef kweny mirad yake kuzid jumla ya pesa zote zinazopelekwa nyanda za juu kusini
Pesa ilioko pale busis bridge ikipelekwa mbeya wanaweza jenga modern city Yao wanyakyusa wakaacha kukimbilia dar
Eti wanasema parachichi ni dhahabu ya kijani, hiv waijua bei ya dhahabu kweli per kg![]()



Kahama ni hovyo sana yaani ndio mnaweka taa mwaka huu 2023? Hadi Makambako imewashinda?Zoezi la uwekaji taa za tanroads likiendelea ..
Kahama inazidi kuwa onView attachment 2479745View attachment 2479746View attachment 2479747View attachment 2479751
Aliyekuambia taa ndo zinawekwa Leo nani ...taa zilikuwepo za umeme ambazo operation yake ilikuwa expensive...Kahama ni hovyo sana yaani ndio mnaweka taa mwaka huu 2023? Hadi Makambako imewashinda?
Mwisho Taa za barabarani sio z kulingia miaka ya Leo ziko Kila Mji Kwa Sasa.
Ziko Kila mji lakin sio mbeyaKahama ni hovyo sana yaani ndio mnaweka taa mwaka huu 2023? Hadi Makambako imewashinda?
Mwisho Taa za barabarani sio z kulingia miaka ya Leo ziko Kila Mji Kwa Sasa.



MAkambako hizo taa za tanroad zipo zaidi ya km 5 mzee hapa ni njia panda Barabara zote wamefunga taa mbeya road km 2 ,iringa road km 3 songea road km 3 jumlisha hapo zinakuwa ngapiAliyekuambia taa ndo zinawekwa Leo nani ...taa zilikuwepo za umeme ambazo operation yake ilikuwa expensive...
By the way hizo taa za makambako zikifika wingi wa km 5 niite fisi ...
Hizo taa ni tanroads na hamna mtu anaringia ila tunakuonyesha tu kuwa kahama sio level Zenu miji uchwara
Tafadhari usiivunjie heshima Nyamagana Mbeya inapambana na Ilemela pleaseNaona umeanza kufloat
Hapo Niko natest injini tu ..kazi haijaanza .
Huku barabara zinafika Hadi mlangoni mwa makazi ya watu..
NYAMAGANAView attachment 2479240View attachment 2479241View attachment 2479242View attachment 2479243
Aliyekuambia taa ndo zinawekwa Leo nani ...taa zilikuwepo za umeme ambazo operation yake ilikuwa expensive...
By the way hizo taa za makambako zikifika wingi wa km 5 niite fisi ...
Hizo taa ni tanroads na hamna mtu anaringia ila tunakuonyesha tu kuwa kahama sio level Zenu miji uchwara
Safi sana kamanda, ulikuwa wapi mkulungwa?😂😂😂😂 endelea kumgongelea misumali huyo zwazwa kutoka njombe.Jamaa eti anakaza misuli na visehem vyake ajui mwanza inapokea pesa ndef kweny mirad yake kuzid jumla ya pesa zote zinazopelekwa nyanda za juu kusini
Pesa ilioko pale busis bridge ikipelekwa mbeya wanaweza jenga modern city Yao wanyakyusa wakaacha kukimbilia dar
Eti wanasema parachichi ni dhahabu ya kijani, hiv waijua bei ya dhahabu kweli per kg![]()
Huu ujinga na uzushi hauwezi kuwasidia kuondoa ule uswazi umejaa pale Mwnza mjini
Makambako baadhi hizoKahama ni hovyo sana yaani ndio mnaweka taa mwaka huu 2023? Hadi Makambako imewashinda?
Mwisho Taa za barabarani sio z kulingia miaka ya Leo ziko Kila Mji Kwa Sasa.
Makambako saiz ipo full mzeeAliyekuambia taa ndo zinawekwa Leo nani ...taa zilikuwepo za umeme ambazo operation yake ilikuwa expensive...
By the way hizo taa za makambako zikifika wingi wa km 5 niite fisi ...
Hizo taa ni tanroads na hamna mtu anaringia ila tunakuonyesha tu kuwa kahama sio level Zenu miji uchwara
Tuoneshe service road za highway za huko mwaloni zone badala ya kuangua vilio..Barabara ni moja lakin picha 6, uthibitisho ni huyo mmama na yule jamaa mweny red t-shirt kuappear kweny kila picha
The Sunk Cost Fallacy 2 Acha wehu bana View attachment 2479931View attachment 2479932View attachment 2479933View attachment 2479934View attachment 2479935View attachment 2479936
@The Sunk Cost Fallacy 2 ni mwehu ni ana chuki na kanda ya ziwa. Kuna uzi wa Chato kutokua mkoa jamaa anashangilia hoja hana, anatamn kila kitu lake zone kiende ndivyo sivyo.Safi sana kamanda, ulikuwa wapi mkulungwa?endelea kumgongelea misumali huyo zwazwa kutoka njombe.

Ukinionesha barabara uko usweken ni four ways, ntakuonesha service roadTuoneshe service road za highway za huko mwaloni zone badala ya kuangua vilio..
Mwisho nimeweka picha za barabarani mbalimbali naona umechagua hii pekee![]()



Hivi hii service road inaweza kupitisha ata IST kweliBarabara ni moja lakin picha 6, uthibitisho ni huyo mmama na yule jamaa mweny red t-shirt kuappear kweny kila picha
The Sunk Cost Fallacy 2 Acha wehu bana View attachment 2479931View attachment 2479932View attachment 2479933View attachment 2479934View attachment 2479935View attachment 2479936




au service road uko kwenu ni special kwa watembea kwa miguu na baiskeli?@The Sunk Cost Fallacy 2Hivi hii service road inaweza kupitisha ata IST kweliau service road uko kwenu ni special kwa watembea kwa miguu na baiskeli?View attachment 2479983