The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Tuko Sumbawanga kwanza ,huko Mbeya tutakuja
Tuko Sumbawanga kwanza ,huko Mbeya tutakuja
Hii ligi utaiweza kweli? By the way naona dream houses huko background 😂😂
Ndo umeshamaliza Hutu tubarabara twa hicho kilinge Cha uvuvi?Wenye chuki wanasema hapa ni Abu Dhabi..na sisi tunasema yes
hii ni Abu Dhabi musoma
View attachment 2479203View attachment 2479204View attachment 2479205
Achana na masuala ya nyumba maana kusini nzima ,,, kwenye makazi ni kuwaonelea tu...we si unataka barabara,,,, tulia uonyeshww
Ilemela is hot








Naona umeanza kufloatNdo umeshamaliza Hutu tubarabara twa hicho kilinge Cha uvuvi?






Shinyanga..roads by night
Very local,walio design hizi Barabara walisomea Kahama Vct au? 😆😆.Shinyanga..roads by night View attachment 2479249View attachment 2479250
Kawaambie tanroads,,sio Mimi ...by the way unatafuta exit doorVery local,walio design hizi Barabara walisomea Kahama Vct au?.
Hizo kerb stones Zina protect kitu gani wakati zinatakiwa kuwepo hapo kwenye mstari wa road marking Ili kuzuia driving kwenye shoulders ambazo zinatumiwa na watembea Kwa miguu,Sasa wao wameweka huko kwenye mtaro Ili iwaje?View attachment 2479276



Hizo ndo barabara kali za uko uswekeniHakuna Mji hata mmja huko Fishing zone yenye streets roads Kali kama SumbawangaView attachment 2478347View attachment 2478348View attachment 2478349View attachment 2478350View attachment 2478351View attachment 2478352View attachment 2478353View attachment 2478355View attachment 2478356View attachment 2478357View attachment 2478358


Kali za huko mwaloni ziko wapi? Wewe inazionaje?Hizo ndo barabara kali za uko uswekeni![]()
Exposure yako ndo imekufany uone hizo barabara ndo kali #ICAN'TBLAMEYOUMRKali za huko mwaloni ziko wapi? Wewe inazionaje?






Humu Huwa hatupanui Domo bila ushahidi wa picha,weka hapa barabara za huko mwaloni, hadithi zako hatuzihitaji hapaExposure yako ndo imekufany uone hizo barabara ndo kali #ICAN'TBLAMEYOUMR
Kupost barabara za mwanza eti kisa umepost hizo njia za wapita kwa miguu ni kuikosea heshima mwanza
Zingatia uzi,nadhan waombe watu wa Kahama barabara kama izo labda mtalingan japo ni haiwezekan kulingan na Kahama even dhambi![]()
Nshakwambia kuleta picha za barabara mwanza eti kisa umeleta huo upuuzi ni dharau kwa wanamwanza. Kiufupi mwanza ni mikoa yote ya nyanda za juu kusiniHumu Huwa hatupanui Domo bila ushahidi wa picha,weka hapa barabara za huko mwaloni, hadithi zako hatuzihitaji hapa





Wewe ni mjinga na unaleta excuses za kindezi wakati we know kwamba huko Fishing zone hakuna hizo Barabara Kali ni upuuzi tuu..Nshakwambia kuleta picha za barabara mwanza eti kisa umeleta huo upuuzi ni dharau kwa wanamwanza. Kiufupi mwanza ni mikoa yote ya nyanda za juu kusini
Waombe wanamwanza ruhusa kwamb unatak kuziona barabara za mwanza then wakikubali ntaleta picha hapa
Boy From Uswekeni umenielewa
Nshakupa maeelekezo ZINGATIA instructionsWewe ni mjinga na unaleta excuses za kindezi wakati we know kwamba huko Fishing zone hakuna hizo Barabara Kali ni upuuzi tuu..









Nshakupa maeelekezo ZINGATIA instructions
INSTRUCTIONS
01.Omba ruhusa
02.Lete nakal ya ruhusa
03.Letewa picha


mnyooshe huyu