Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Wew utabaki tu hapo chimala ,,maana ndio unapopaweza sehemu classic huziwezi kabisaMapato ya migodi ya Wazungu ndio unalingia?
Kama Halmashauri Zina mapato kidogo siwezi kuja huko Ni uswekeni na wanaishi maskini.

Seng , sengerema is waah



🥸🥸







