Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Vipi kuhusu Mafinga kati ya hiyo miji miwili, Njombe na Kahama.
Mafinga kuko vizuri ila kunazibwa mno na Makambako.

Makambako ina kila kitu hata ukiharibikiwa gari upo Njombe au Iringa katengenezee Makambako utanishukuru
 
Taasisi za Serikali kuendeleza Migogoro inayokwamisha Maendeleo ya Wananchi Ni upuuzi na zinanikera sana..

Hadi Sasa ujenzi wa Chuo Kikuu Cha Udsm ndaki ya Afya na Tiba umekwama sababu ya mivutano ya Ardhi.

Ujenzi wa Hospitali ya Tiba umekwama sababu hiyo hiyo na Sasa

Ujenzi wa Hospitali ya Saratani umekwama sababu ya Upuuzi huo huo.

Mbaya zaidi TBC nao wameshindwa kufanya Uendelezaji wa Mitambo sababu ya Migogoro ya kijinga.

 
Mbeya swala la ardhi limeshakuwa tatizo hasa ndani ya jiji eneo kubwa ni yamejaa makaz labda wafikilie hata kupunguza mashamba ya uyole
Hizo ndio points za maana Chuo Cha Uyole kinafanya Nini pale Mjini? Serikali ikanunue Maeneo Huko Wilayani Tena mbali na Mji ili wajenge Chuo huko,unawekeaje Chuo Cha Utafiti wa Kilimo Ndani ya Jiji?

Vyuo vingine vya Utafiti vya Wizara ya Kilimo vyote viko Vijijini huko.Watu wa Serikali wanakera sana..

Hivi wanashindwa kwenda kwa Rais ili afutilie mbali Hilo eneo hapo na watafute maeneo Wilayani au Mkoa Kama Rukwa,Njombe nk kwa ajili ya Mashamba ya Utafiti?
 
Kwa wale waliopasahau Bukoba....


Miembeni Bukoba
BK%202020.PNG
 
Taasisi za Serikali kuendeleza Migogoro inayokwamisha Maendeleo ya Wananchi Ni upuuzi na zinanikera sana..

Hadi Sasa ujenzi wa Chuo Kikuu Cha Udsm ndaki ya Afya na Tiba umekwama sababu ya mivutano ya Ardhi.

Ujenzi wa Hospitali ya Tiba umekwama sababu hiyo hiyo na Sasa

Ujenzi wa Hospitali ya Saratani umekwama sababu ya Upuuzi huo huo.

Mbaya zaidi TBC nao wameshindwa kufanya Uendelezaji wa Mitambo sababu ya Migogoro ya kijinga.

Mkome...pengine wameona maeneo hayo hayana potential..
 
Hizo ndio points za maana Chuo Cha Uyole kinafanya Nini pale Mjini? Serikali ikanunue Maeneo Huko Wilayani Tena mbali na Mji ili wajenge Chuo huko,unawekeaje Chuo Cha Utafiti wa Kilimo Ndani ya Jiji?

Vyuo vingine vya Utafiti vya Wizara ya Kilimo vyote viko Vijijini huko.Watu wa Serikali wanakera sana..

Hivi wanashindwa kwenda kwa Rais ili afutilie mbali Hilo eneo hapo na watafute maeneo Wilayani au Mkoa Kama Rukwa,Njombe nk kwa ajili ya Mashamba ya Utafiti?
Unamlilia nani hapa ,,,,huna namba za waziri wako .we chawa wa Samia
 
Back
Top Bottom