The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Acha mzaha Basi..
Njombe 👇
Acha mzaha Basi..
Kuhusu viwanda kaa pembeni tu .hii ligi huiwezi...Nimetupia kiwanda Cha maziwa na Chuo Kikuu umeshindwa kulipa unakimbilia kwenye maduka![]()

Hauna jina?
Ko unadhani hapo ni njombe au zizi lenu la MbeyaHauna jina?



Mnategemea Serikali 😁😁.Shy town beibeee![]()
![]()
Aisee NSSF imetupendelea sana shinyanga..tuna complex investment mbili kahama na shy town ..
Ni mkoa wa tatu kuwa multi Investment za NSSF baada ya mwanza na dar
Huu uchafu songea hautii mguu Kwa musoma townMnategemea Serikali.
Songea MCView attachment 2473233View attachment 2473234View attachment 2473236View attachment 2473237

Another local fishing Village 😆😆😆😆Musoma .haivumi lakin imo .it's smarter than mbeyaView attachment 2473304View attachment 2473305View attachment 2473306View attachment 2473307View attachment 2473308View attachment 2473309View attachment 2473310
Mwalo 🤣🤣Huu uchafu songea hautii mguu Kwa musoma townView attachment 2473288View attachment 2473289View attachment 2473290View attachment 2473294View attachment 2473295View attachment 2473298View attachment 2473299
Fikeni hapa kwanza 👇Ko unadhani hapo ni njombe au zizi lenu la Mbeya![]()
![]()
![]()
Hii Ni karasha sawa tuu na zile za wachina wanazochenjulia kokoto
Siku ukifika hapa ndio uje kuropoka..Ko unadhani hapo ni njombe au zizi lenu la Mbeya![]()
![]()
![]()
We endelea kujichekesha Kwa maumivu wakati Mara imewapumulia pumzi ya moto kwenye mapatoMwalo
Kuna Mikoa wakinileta kufanya kazi watakuwa wamenikomoa Sana Kama Mara,Shinyanga na Simiyu hakuna maisha Wala mademu.






Mapato ya migodi ya Wazungu ndio unalingia?We endelea kujichekesha Kwa maumivu wakati Mara imewapumulia pumzi ya moto kwenye mapato
MbeyaView attachment 2473345
Kama mbeya tungeiweka Kanda ya ziwa ingeshika nafasi ya nne Kwa mapataWe endelea kujichekesha Kwa maumivu wakati Mara imewapumulia pumzi ya moto kwenye mapato
MbeyaView attachment 2473345



Leo unasema mapato ya migodi eti ..kwani hyo migodi haitoi csr ,,haitoi service levies,haiajiri .. stupid argumentMapato ya migodi ya Wazungu ndio unalingia?
Kama Halmashauri Zina mapato kidogo siwezi kuja huko Ni uswekeni na wanaishi maskini.
Sasa csr inaenda Halmashauri,nataka mapato ya Halmashauri per say yanahotokana na biashara za watu directly sio Migodi ,naona unanitoa ufahamu..Leo unasema mapato ya migodi eti ..kwani hyo migodi haitoi csr ,,haitoi service levies,haiajiri .. stupid argument